Mwanzo

WikiShia
Ensaiklopidia ya Maktaba Ahlul Bayt (a.s.), inayosimamiwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s.)
733 Makala / mabadiliko 15,031 kwa Kiswahili

Makala ya Wiki

Sayyid Hassan Nasrullah (Kiarabu:السيد حسن نصر الله) (1960 - 2024): alikuwa ni Katibu Mkuu wa tatu wa Hizbullah, chama cha kisiasa na kijeshi cha Lebanon ambacho kiliasisiwa mano mwaka 1982. Chini ya uongozi wake, Hizbullah iliimarika na kuwa ni nguvu muhimu ya kikanda iliyofanikiwa kuilazimisha Israel kuondoka kusini mwa Lebanon mwaka 2000, baada ya operesheni za kijeshi zilizojumuisha kurudisha huru wafungwa wa Kilebanoni. Sayyid Hassan Nasrallah aliaga dunia kwa kuuawa shahidi mnamo tarehe 28/9/2024 Miladia kupitia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na vikosi vya Israel.

Read more ...


Je, wajua ...
  • ... Kifo cha Fatima Zahra, binti ya Mtume (s.a.w.w) ni miongoni mwa vifo vilivyo na utata zaidi katika Uislamu na hata kaburi lake halijulikani lilipo?
  • ... Kitendo cha kusengenya kimefananishwa na mtu kula nyama ya nduguye aliyekufa?
  • ... Ramadhani, ndio mwezi pekee jina lake limekuja katika Qur'an?
  • ... Aya ya 7 ya Surat al-Bayyinah ni miongoni mwa Aya ambazo zilizoteremka kuelezea fadhila na ubora wa Ali bin Abi Talib (a.s)?
  • ... Shia ndio madhehebu inayoamini na kuitikadi kuwa Khalifa au Kiongozi baada ya Mtume (s.a.w.w) anapaswa kuchaguliwa na M.mungu kisha kuainishwa na Mtume?
Makala Zilizo Pendekezwa


  • Karbala « Ni moja ya miji ya Mashia ya kufanya ziara na kijiografia mji huu upo nchini Iraq.»
  • Jeshi la Omar bin Sa’d « Ni jeshi lililokuwa limekusanywa na Omar bin Sa’d kwa amri ya Ubaidullah ibn Ziyad na katika siku ya Ashura lilipigana na Imamu Hussein (a.s) na maswahaba zake katika jangwa la Karbala.»
  • Mukhtar ibnu Abi Ubaid al-Thaqafi «Ni miongoni mwa tabiina (waliokutana na masahaba wa Mtume) ambaye alianzisha harakati na mapinduzi kwa ajili ya kulipiza kisasi cha damu ya Imamu Hussein (a.s).»
  • Harakati za Imamu Hussein (a.s) «Ni harakati za Imamu Hussein (a.s) dhidi ya utawala wa Yazid bin Muawiya ili kuonesha upinzani wake dhidi ya utawala huo. »
  • Abbas bin Ali bin Abi Talib (a.s) «Ni mtoto wa tano wa Imamu Ali (a.s) na mtoto wa kwanza wa Ummul-Banina, ambaye alizaliwa mwaka wa 26 na kuuwawa kishahidi na jeshi la Yazid bin Muawiya mwaka wa 61 Hijiria.»
  • Akhera «Ni ulimwengu baada ya kifo na mauti na ni ulimwengu ujao baada ya maisha ya dunia.»
  • Ulul-amri «Ina maana ya wenye mamlaka, na hao wenye mamlaka ni watu ambao ni wajibu kuwatii kwa msingi wa Aya ya Ulul-Amr. Istilahi hii imekuja na kuelezwa ndani ya aya ya 59 ya surat al-Nisaa.»
  • Kafara ya swaumu «Ni adhabu ambayo huwekwa kutokana na kubatilisha na kuharibu funga ya mwezi wa Ramadhan, funga ya nadhiri ya muda maalumu na pia kadhwaa au malipo ya funga ya mwezi wa Ramadhani.»
  • Safari ya Kisheria «Ni safari ambayo ndani yake msafiri analazimika kusali sala zake kwa kupunguza (Sala za rakaa nne azisali rakaa mbili) na hapaswi kufunga Swaumu.»
Kategoria Kuu
Jamii inayoitwa Beliefs‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Culture‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Geography‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa History‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa People‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Politics‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Religion‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Sciences‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Works‎ haikupatikana
Lugha