Mwanzo
Mandhari
WikiShia
Ensaiklopidia ya Maktaba Ahlul Bayt (a.s.), inayosimamiwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s.)
872 Makala / mabadiliko 19,614 kwa Kiswahili
- Jeshi la Omar bin Sa’d « Ni jeshi lililokuwa limekusanywa na Omar bin Sa’d kwa amri ya Ubaidullah ibn Ziyad na katika siku ya Ashura lilipigana na Imamu Hussein (a.s) na maswahaba zake katika jangwa la Karbala.»
- Mukhtar ibnu Abi Ubaid al-Thaqafi «Ni miongoni mwa tabiina (waliokutana na masahaba wa Mtume) ambaye alianzisha harakati na mapinduzi kwa ajili ya kulipiza kisasi cha damu ya Imamu Hussein (a.s).»
- Harakati za Imamu Hussein (a.s) «Ni harakati za Imamu Hussein (a.s) dhidi ya utawala wa Yazid bin Muawiya ili kuonesha upinzani wake dhidi ya utawala huo. »
- Imamu Hussein (a.s) «Ni Imamu wa tatu miongoni mwa Maimamu wa Kishia, alizaliwa mwaka wa 4 Hijiria na kuuwawa kishahidi mwaka wa 61 Hijiria katika tukio la Karbala. »
- Abbas bin Ali bin Abi Talib (a.s) «Ni mtoto wa tano wa Imamu Ali (a.s) na mtoto wa kwanza wa Ummul-Banina, ambaye alizaliwa mwaka wa 26 na kuuwawa kishahidi na jeshi la Yazid bin Muawiya mwaka wa 61 Hijiria.»
- Kizito kikubwa «Ni sifa ambayo aliitumia Mtume (s.a.w.w) kuielezea na kuitambulisha Qur'an Tukufu katika hadithi ya Vitizo viwili (Hadith al-Thaqalain).»
- Kizito kidogo «sifa ya kizazi cha Mtume (s.a.w.w) katika hadithi ya vizito viwili (Athaqalaini).»
- Akhera «Ni ulimwengu baada ya kifo na mauti na ni ulimwengu ujao baada ya maisha ya dunia.»
- Ulul-amri «Ina maana ya wenye mamlaka, na hao wenye mamlaka ni watu ambao ni wajibu kuwatii kwa msingi wa Aya ya Ulul-Amr. Istilahi hii imekuja na kuelezwa ndani ya aya ya 59 ya surat al-Nisaa.»
- Kafara ya swaumu «Ni adhabu ambayo huwekwa kutokana na kubatilisha na kuharibu funga ya mwezi wa Ramadhan, funga ya nadhiri ya muda maalumu na pia kadhwaa au malipo ya funga ya mwezi wa Ramadhani.»
- Safari ya Kisheria «Ni safari ambayo ndani yake msafiri analazimika kusali sala zake kwa kupunguza (Sala za rakaa nne azisali rakaa mbili) na hapaswi kufunga Swaumu.»
- Aya ya Kumswalia Mtume (s.a.w.w) «Ni Aya ya 56 ya surat al-Ahzab, ambayo inaashiria kwamba, Mwenyezi Mungu na Malaika wanamsalia Mtume (s.a.w.w) na inawataka waumini pia wamsalie Mtume.»
Jamii inayoitwa Beliefs haikupatikana
Jamii inayoitwa Culture haikupatikana
Jamii inayoitwa Geography haikupatikana
Jamii inayoitwa History haikupatikana
Jamii inayoitwa People haikupatikana
Jamii inayoitwa Politics haikupatikana
Jamii inayoitwa Religion haikupatikana
Jamii inayoitwa Sciences haikupatikana
Jamii inayoitwa Works haikupatikana
- Sheikh Omar Juma Mayunga
- Dua ya Arubaini na Tano ya kitabu cha Sahifa Sajjadiya
- Dua ya Arubaini na Nne ya kitabu cha Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya arubaini na tatu ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya Arubaini na Mbili ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya Arubaini ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na tisa (39) ya kitabu cha Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na nane (38) ya kitabu cha Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na saba ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na sita ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na tano ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na nne ya Sahifa Sajjadiya
- Dua ya thelathini na tatu ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thalathini na mbili ya Sahifa Sajjadiya
- Silaha za Maangamizi ya Halaiki (WMD)
- Yaumu al-Muqawamati al-Alamiyya
- Qaida ya Nafyu al‑Sabil
- Sisi ni taifa la Imamu Hussein
- Labbaika ya Hussein
- Jihadi Dhabbi