Nenda kwa yaliyomo

Mwanzo

Kutoka wikishia
WikiShia
Ensaiklopidia ya Maktaba Ahlul Bayt (a.s.), inayosimamiwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s.)
818 Makala / mabadiliko 17,932 kwa Kiswahili

Makala ya Wiki
{{{alt}}}
{{{alt}}}

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Kiarabu: شهر رمضان المبارك) ni mwezi wa tisa katika kalenda ya Kiislamu ya Hijiria ambapo ndani yake Waislamu wamefaradhishiwa funga ya swaumu. Katika hadithi zimeelezwa fadhila mbalimbali za mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwezi huu umetajwa kuwa ni mwezi wa kualikwa (kuwa katika ugeni) na Mwenyezi Mungu, mwezi wa rehema, maghufira, ‌‌Baraka na machipuo ya Qur’ani. Kwa mujibu wa hadithi, katika mwezi huu milango ya mbinguni na ya peponi hufunguliwa huku milango ya motoni ikifungwa. Usiku wa cheo kitukufu ambapo Qur’ani ilishushwa ndani ya usiku huo, unapatikana katika mwezi huu. Baadhi ya vitabu vingine vya mbinguni kama Taurati na Injili pia vilishushwa ndani ya mwezi huu mtukufu. Ramadhani ndio mwezi pekee ambao jina lake limetajwa ndani ya Qur’ani.

Makala kamili ...

Makala mengine yaliyoangaziwa: Muhammad bin Othman bin Said AmriMnafikiDua Makarim al-Akhlaq

Je, wajua ...
  • ... Kifo cha Fatima Zahra, binti ya Mtume (s.a.w.w) ni miongoni mwa vifo vilivyo na utata zaidi katika Uislamu na hata kaburi lake halijulikani lilipo?
  • ... Kitendo cha kusengenya kimefananishwa na mtu kula nyama ya nduguye aliyekufa?
  • ... Ramadhani, ndio mwezi pekee jina lake limekuja katika Qur'an?
  • ... Aya ya 7 ya Surat al-Bayyinah ni miongoni mwa Aya ambazo zilizoteremka kuelezea fadhila na ubora wa Ali bin Abi Talib (a.s)?
  • ... Shia ndio madhehebu inayoamini na kuitikadi kuwa Khalifa au Kiongozi baada ya Mtume (s.a.w.w) anapaswa kuchaguliwa na M.mungu kisha kuainishwa na Mtume?
Makala Zilizo Pendekezwa


  • Karbala « Ni moja ya miji ya Mashia ya kufanya ziara na kijiografia mji huu upo nchini Iraq.»
  • Jeshi la Omar bin Sa’d « Ni jeshi lililokuwa limekusanywa na Omar bin Sa’d kwa amri ya Ubaidullah ibn Ziyad na katika siku ya Ashura lilipigana na Imamu Hussein (a.s) na maswahaba zake katika jangwa la Karbala.»
  • Mukhtar ibnu Abi Ubaid al-Thaqafi «Ni miongoni mwa tabiina (waliokutana na masahaba wa Mtume) ambaye alianzisha harakati na mapinduzi kwa ajili ya kulipiza kisasi cha damu ya Imamu Hussein (a.s).»
  • Harakati za Imamu Hussein (a.s) «Ni harakati za Imamu Hussein (a.s) dhidi ya utawala wa Yazid bin Muawiya ili kuonesha upinzani wake dhidi ya utawala huo. »
  • Abbas bin Ali bin Abi Talib (a.s) «Ni mtoto wa tano wa Imamu Ali (a.s) na mtoto wa kwanza wa Ummul-Banina, ambaye alizaliwa mwaka wa 26 na kuuwawa kishahidi na jeshi la Yazid bin Muawiya mwaka wa 61 Hijiria.»
  • Akhera «Ni ulimwengu baada ya kifo na mauti na ni ulimwengu ujao baada ya maisha ya dunia.»
  • Ulul-amri «Ina maana ya wenye mamlaka, na hao wenye mamlaka ni watu ambao ni wajibu kuwatii kwa msingi wa Aya ya Ulul-Amr. Istilahi hii imekuja na kuelezwa ndani ya aya ya 59 ya surat al-Nisaa.»
  • Kafara ya swaumu «Ni adhabu ambayo huwekwa kutokana na kubatilisha na kuharibu funga ya mwezi wa Ramadhan, funga ya nadhiri ya muda maalumu na pia kadhwaa au malipo ya funga ya mwezi wa Ramadhani.»
  • Safari ya Kisheria «Ni safari ambayo ndani yake msafiri analazimika kusali sala zake kwa kupunguza (Sala za rakaa nne azisali rakaa mbili) na hapaswi kufunga Swaumu.»
Kategoria Kuu
Jamii inayoitwa Beliefs‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Culture‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Geography‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa History‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa People‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Politics‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Religion‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Sciences‎ haikupatikana
Jamii inayoitwa Works‎ haikupatikana