Mwanzo
Mandhari
WikiShia
Ensaiklopidia ya Maktaba Ahlul Bayt (a.s.), inayosimamiwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s.)
858 Makala / mabadiliko 18,935 kwa Kiswahili



Tukio la Karbala au Tukio la Ashura (Kiarabu: واقعة کربلا أو واقعة عاشوراء) ni tukio la vita vya jeshi la Kufa dhidi ya Imamu Hussein (a.s) na masahaba zake huko Karbala. Tukio la Karbala lilitokea tarehe 10 Muharram (Mfunguo nne) mwaka wa 61 Hijiria, baada ya Imamu Hussein (a.s) kukataa kutoa kiapo cha utiifu cha kutawazishwa Yazid bin Muawiah kushika nafasi ya ukhalifa. Jambo hilo ndilo lililopelekea kuuawa shahidi Imamu na masahaba zake, kisha kutekwa kwa familia yake baada ya vita hivyo.
Makala mengine yaliyoangaziwa: Al-Mahdi al-Abbasi – Mulla Asgharali Jaffer – Magharibi ya kisheria


- ... Kifo cha Fatima Zahra, binti ya Mtume (s.a.w.w) ni miongoni mwa vifo vilivyo na utata zaidi katika Uislamu na hata kaburi lake halijulikani lilipo?
- ... Kitendo cha kusengenya kimefananishwa na mtu kula nyama ya nduguye aliyekufa?
- ... Ramadhani, ndio mwezi pekee jina lake limekuja katika Qur'an?
- ... Aya ya 7 ya Surat al-Bayyinah ni miongoni mwa Aya ambazo zilizoteremka kuelezea fadhila na ubora wa Ali bin Abi Talib (a.s)?
- ... Shia ndio madhehebu inayoamini na kuitikadi kuwa Khalifa au Kiongozi baada ya Mtume (s.a.w.w) anapaswa kuchaguliwa na M.mungu kisha kuainishwa na Mtume?


- Jeshi la Omar bin Sa’d « Ni jeshi lililokuwa limekusanywa na Omar bin Sa’d kwa amri ya Ubaidullah ibn Ziyad na katika siku ya Ashura lilipigana na Imamu Hussein (a.s) na maswahaba zake katika jangwa la Karbala.»
- Mukhtar ibnu Abi Ubaid al-Thaqafi «Ni miongoni mwa tabiina (waliokutana na masahaba wa Mtume) ambaye alianzisha harakati na mapinduzi kwa ajili ya kulipiza kisasi cha damu ya Imamu Hussein (a.s).»
- Harakati za Imamu Hussein (a.s) «Ni harakati za Imamu Hussein (a.s) dhidi ya utawala wa Yazid bin Muawiya ili kuonesha upinzani wake dhidi ya utawala huo. »
- Imamu Hussein (a.s) «Ni Imamu wa tatu miongoni mwa Maimamu wa Kishia, alizaliwa mwaka wa 4 Hijiria na kuuwawa kishahidi mwaka wa 61 Hijiria katika tukio la Karbala. »
- Abbas bin Ali bin Abi Talib (a.s) «Ni mtoto wa tano wa Imamu Ali (a.s) na mtoto wa kwanza wa Ummul-Banina, ambaye alizaliwa mwaka wa 26 na kuuwawa kishahidi na jeshi la Yazid bin Muawiya mwaka wa 61 Hijiria.»
- Kizito kikubwa «Ni sifa ambayo aliitumia Mtume (s.a.w.w) kuielezea na kuitambulisha Qur'an Tukufu katika hadithi ya Vitizo viwili (Hadith al-Thaqalain).»
- Kizito kidogo «sifa ya kizazi cha Mtume (s.a.w.w) katika hadithi ya vizito viwili (Athaqalaini).»
- Akhera «Ni ulimwengu baada ya kifo na mauti na ni ulimwengu ujao baada ya maisha ya dunia.»
- Ulul-amri «Ina maana ya wenye mamlaka, na hao wenye mamlaka ni watu ambao ni wajibu kuwatii kwa msingi wa Aya ya Ulul-Amr. Istilahi hii imekuja na kuelezwa ndani ya aya ya 59 ya surat al-Nisaa.»
- Kafara ya swaumu «Ni adhabu ambayo huwekwa kutokana na kubatilisha na kuharibu funga ya mwezi wa Ramadhan, funga ya nadhiri ya muda maalumu na pia kadhwaa au malipo ya funga ya mwezi wa Ramadhani.»
- Safari ya Kisheria «Ni safari ambayo ndani yake msafiri analazimika kusali sala zake kwa kupunguza (Sala za rakaa nne azisali rakaa mbili) na hapaswi kufunga Swaumu.»
- Aya ya Kumswalia Mtume (s.a.w.w) «Ni Aya ya 56 ya surat al-Ahzab, ambayo inaashiria kwamba, Mwenyezi Mungu na Malaika wanamsalia Mtume (s.a.w.w) na inawataka waumini pia wamsalie Mtume.»


Jamii inayoitwa Beliefs haikupatikana
Jamii inayoitwa Culture haikupatikana
Jamii inayoitwa Geography haikupatikana
Jamii inayoitwa History haikupatikana
Jamii inayoitwa People haikupatikana
Jamii inayoitwa Politics haikupatikana
Jamii inayoitwa Religion haikupatikana
Jamii inayoitwa Sciences haikupatikana
Jamii inayoitwa Works haikupatikana


- Silaha za Maangamizi ya Halaiki (WMD)
- Yaumu al-Muqawamati al-Alamiyya
- Qaida ya Nafyu al‑Sabil
- Sisi ni taifa la Imamu Hussein
- Labbaika ya Hussein
- Jihadi Dhabbi
- Haihata mina al‑dhilla
- Kurejea kwa Nabii Isa (a.s)
- Operesheni ya Besharate Fath
- Dua ya ishirini na tisa ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini ya Sahifa Sajjadiya
- Dua ya ishirini na nane ya Sahifa Sajjadiyya
- Dua ya thelathini na moja ya Sahifa Sajjadiya
- Ahlul-Kitab
- Jamhuri ya Kiislamu
- Kikosi cha Quds
- Dua ya Ishirini na Saba ya Sahifa Sajjadiyya
- Hukumu ya Kifiqhi Juu ya Uharamu wa Kuunda na Kutumia Silaha za Nyuklia
- Jihadi
- Dua ya ishirini na moja ya Sahifa Sajjadiyya