Mwanzo
Kuonekana Mwenyezi Mungu (Kiarabu: رؤية الله) ni maudhui ya kiteolojia (kiitikadi) nayo ni kuhusiana na uwezekano wa kumuona Mwenyezi Mungu kwa macho. Wasomi wa elimu ya teolojia wa madhehebu ya Shia Imamiyyah na wale wa kundi la Mu’tazila wanaamini kwamba, Mwenyezi haonekani kwa macho hapa duniani wala kesho akhera. Mtazamo wao ni kwamba; kumuona Mwenyezi Mungu kwa macho kunalazimu Muumba huyo awe na mwili na umbo, na inafahamika kwa kawaida ya kwamba kila chenye mwili au kiwiliwili kina sehemu maalumu, na kuamini hivyo ni kumwekea mipaka Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa ni kinyume na hivyo kwa mujibu wa mantiki na mafundisho ya Uislamu. Hata hivyo mkabala na wao, madhehebu mengi ya kiteolojia ya Ahlu-Sunna kama Ash’ari, Ahlul-Hadithi, al-Mujassamiya, al-Karamiyyah na Salafiyah yenyewe yanaamini kwamba, kuna uwezekano wa kumuona Mwenyezi Mungu.
Other featured articles: Kitabu cha Ali (a.s) – Eido al-Fitr – Eido al-Ghadir
- ... Kifo cha Fatima Zahra, binti ya Mtume (s.a.w.w) ni miongoni mwa vifo vilivyo na utata zaidi katika Uislamu na hata kaburi lake halijulikani lilipo?
- ... Kitendo cha kusengenya kimefananishwa na mtu kula nyama ya nduguye aliyekufa?
- ... Ramadhani, ndio mwezi pekee jina lake limekuja katika Qur'an?
- ... Aya ya 7 ya Surat al-Bayyinah ni miongoni mwa Aya ambazo zilizoteremka kuelezea fadhila na ubora wa Ali bin Abi Talib (a.s)?
- ... Shia ndio madhehebu inayoamini na kuitikadi kuwa Khalifa au Kiongozi baada ya Mtume (s.a.w.w) anapaswa kuchaguliwa na M.mungu kisha kuainishwa na Mtume?
- Futari « Ni mlo wa kwanza unaoliwa na mtu aliyefunga Saumu au ni mlo ambao mtu anautumia kufungulia Saumu yake.»
- Daku «Ni chakula chochote ambacho huliwa na Waislamu wenye nia ya kufunga Swaumu kesho yake mchana, na imesisitizwa zaidi kuliwa chakula hicho muda kidogo kabla ya adhana ya Alfajiri.»
- Kuamka kabla ya alfajiri «Ni kuwa macho kabla ya adhana ya alfajiri ambapo inaelezwa kuwa, miongoni mwa faida zake ni kusamehewa madhambi na kujibiwa dua.»
- Eido al-Fitr «siku ya sikukuu na siku ya malipo kwa watu ambao Swaumu zao katika mwezi mtukufu wa Ramadhani zimetakabaliwa na Mola.»
- Akhera «Ni ulimwengu baada ya kifo na mauti na ni ulimwengu ujao baada ya maisha ya dunia.»
- Sadaka za lazima «Ni wajibu wa kimali unaoelezewa katika Uislamu ambao unabeba maudhui mbalimbali kama vile zaka ya mali, zakat al-fitr na kafara.»
- Kukusanya baina ya Swala mbili «Ni kuswali Sala za Adhuhuri na Alasiri au swala za Magharibi na Isha kwa pamoja.»
- Kafara ya swaumu «Ni adhabu ambayo huwekwa kutokana na kubatilisha na kuharibu funga ya mwezi wa Ramadhan, funga ya nadhiri ya muda maalumu na pia kadhwaa au malipo ya funga ya mwezi wa Ramadhan ikiwa itaharibiwa na kubatilishwa baada ya adhana ya adhuhuri, funga ambayo ilikuwa ni wajibu kwa mukallaf (mwenye kuwajibishwa).»
- Safari ya Kisheria «Ni safari ambayo ndani yake msafiri analazimika kusali sala zake kwa kupunguza (Sala za rakaa nne azisali rakaa mbili) na hapaswi kufunga Swaumu.»
- Aya ya Kumswalia Mtume (s.a.w.w) «Ni Aya ya 56 ya surat al-Ahzab, ambayo inaashiria kwamba, Mwenyezi Mungu na Malaika wanamsalia Mtume (s.a.w.w) na inawataka waumini pia wamsalie Mtume.»
- Bismillahi al-Rahmani al-Rahim
- Haki za Wazazi Wawili
- Mazungumzo Kati ya Mungu na Nabi Musa (a.s)
- Lauhu Al-Mahfudhi
- Al-Hassan wa Al-Hussein Sayyidaa Shabaabi Ahlu al-Jannah
- Ujauzito wa Bibi Mariamu (s.a)
- Qibla
- Zaburi
- Sirdabu takatifu
- Ibara ya Kun Fayakun
- Aya ya Sa’ala Saailun
- Aya ya Anfalu
- Aya ya Amman Yujiibu
- Aya ya Fitra
- Ughulati
- Shufaa
- Maghulati
- Kadhmu al-ghaidhi
- Samaki mwenye magamba
- Kuishi kinyumba