Kurasa mpya
Mandhari
11 Fubuari 2025
- 20:0220:02, 11 Fubuari 2025 Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Ash'ath ibnu Qais (hist | hariri) [baiti 9,615] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Ash'ath ibnu Qais kutoka kwenye Nahj al-Balagha: Hii ni ile Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Ash'ath ibn Qais, mwakilishi na kaimu mtendaji (gavana) wa Othman bin Affan huko Azerbaijan. Hii ni ile barua mashuhuri inayopatikana katika mkusanyiko wa semi hotuba na hekima za Imamu Ali (a.s) zilizoko kwenye kitabu kiitwacho Nahju Al-Balagha. Imamu Ali (a.s) katika barua yake hii, anamkumbusha Ash'ath juu ya matukio muhimu na hatari yaliy...')
- 20:0020:00, 11 Fubuari 2025 Barua ya Imam Ali kwa Sahl bin Hunaif (hist | hariri) [baiti 2,412] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imam Ali kwa Sahl bin Hunaif: Barua ya Imam Ali kwa Sahl bin Hunaif ni miongoni mwa barua zake mashuhuri kwa watu mbali mbali. Barua hii aliiandika ili kumliwaza Hunaif baada ya baadhi ya wafuasi wa Sahl bin Hunaif kumwacha mkono Imamu Ali (a.s) na kujiunga na Mu’awiya. [1] Hii barua ya Imam Ali (a.s) ya kwa ajili ya Sahl, aliyekuwa gavana wake katika mji wa Madina, alaiyoiandika akimhimiza Sahl kutohuzunika kutokana na kuondoka kwa baadhi ya w...')
- 19:5919:59, 11 Fubuari 2025 Barua ya Imamu Ali (a.s) kwa Shuraih (hist | hariri) [baiti 6,757] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imamu Ali (a.s) kwa Shuraih: Hii ni barua maalumu ya makemeo ya Imamu Ali (a.s) kwa Shuraih bin Harith, aliyekuwa qadhi wa wakati wa wakati huo mjini Kufa, ambaye ameshutumiwa kwa kununua nyumba kwa bei ghali. Katika barua hii, Imam Ali anamuwaidhi Shuraih na kumkumbusha thamani ya dunia na hisabati ya Siku ya Kiyama. Pia baurua yake hiyo ilitaraji kwamba; Shuraih, ambaye ni afisa wa serikali, ataelewa kuwa mtu kama yeye hatarajiwi kuwa na maisha...')
- 19:5619:56, 11 Fubuari 2025 Barua ya Imamu Hussein (a.s) kwa Wakuu wa Basra (hist | hariri) [baiti 12,906] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imamu Hussein (a.s) kwa Wkuu wa Basra: Ilikuwa ni barua maalumu ya wito, iliyoandikwa na Imam Hussein (a.s.) kwa wakuu wa makbila ya Waarabu wa Basra, kabla ya janga la mauaji ya Karbala. Imam (a.s) katika barua hii aliwafikishia Warabu wa Basra ujumbe wake muhimu akiewaeleza kwamba; Ukhalifa ni haki pekee inayowastahikia Ahlul-Bait (a.s). Katika barua hii alifafanua akiwaambia kwamba; kukaa kimya kwa familia hii tukufu dhidi ya unyakuzi wa Ukhali...') ilitengenezwa hapo awali na "Barua ya Imamu Hussein (a.s) kwa Wkuu wa Basra"
- 19:5419:54, 11 Fubuari 2025 Siddiqatu Al-Shahida (Lakabu) (hist | hariri) [baiti 3,698] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Jina la "Siddiqatu Al-Shahida" ni ambatano la Majina mawili ya Bibi Fatima (a.s). Jina “Siddiqatu” linatoka katika msamiati wa Kiarabu wenye maana ya mwanamke mkweli mno kupita kiasi, [1] na jina “Shahida” lina maana ya mwanamke aliyekufa katika njia ya Mwenye Ezi ya Mungu. [2] Pia majina mawili haya ya "Siddiqa" na "Shahida" yanaonekana kuumika katika moja ya riwaya kutoka kwa Imamu Kadhim (a.s.), ambayo wanazuoni wamethibitisha usahihi wake, [3]...') ilitengenezwa hapo awali na "Jina la "Siddiqatu Al-Shahida""
- 19:5319:53, 11 Fubuari 2025 Khasifun-Na'al (Lakabu) (hist | hariri) [baiti 3,508] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Khasifun-Na’al au Khasifu Al-Na’al (Mkarabati Viatu au Mfungafunga Viatu): Ni moja ya lakabu za Imam Ali (a.s), ambaye ni imamu wa kwanza wa Waislamu wa madhehebu ya Shia ulimwenguni. [1] Lakabu hii imetokana na Hadithi inazojulikana kwa jina la Hadithi ya Khasifun-Na’al, ambayo kwa mujibu wake; Mtume Muhammad (s.a.w.w) ndiye aliyemwita Imamu Ali (a.s) kwa jina hili, jina ambalo alipewa pale alikuwa akirekebisha na kufungafunga au kutia viraka viatu...') ilitengenezwa hapo awali na "Khasifun-Na’al au Khasifu Al-Na’al"
19 Januri 2025
- 16:3116:31, 19 Januri 2025 Mapambano Kati ya Taluti na Jaluti (hist | hariri) [baiti 11,423] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mapambano Kati ya Taluti na Jaluti: Mapambano kati ya Taluti na Jaluti ni miongoni mwa visa vilivyomo ndani ya Qurani kuhusiana na mapambano kati ya Taluti, ambaye ni mmoja wa wafalme wa Wana wa Israeli, na Jaluti, aliyekuwa adui wa Wana wa Israeli. Kisa hichi kimesimuliwa katika Aya ya 246 hadi 251 za Suratu Al-Baqara. Kwa mujibu wa simulizi za Qurani, Wana wa Israeli walipoteza mwelekeo wa mafundisho ya Mungu na wakaangukia ndani ya uonevu wa Wapalestina...')
- 16:2816:28, 19 Januri 2025 Miujiza (hist | hariri) [baiti 28,901] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Muujiza''' ni istilahi maalumu inayotumika katika fani na taaluma ya itikadi ('''''ilmu al-Kalamu'''''). Neno hili kiistilahi, humaanisha kupatikana au kutendeka kwa tendo fulani la ajabu lisichokuwa la kawaida, na linachoambatana na madai ya unabii, lenye nia ya kutoa changamoto kwa wengine, ambao hawawezi kutekeleza tendo kama hilo. Katika Qur'ani, kuna simulizi nyingi kuhusiana na miujiza ya Manabii mbalimbali, ambazo kwa mujibu wa wanazuoni Waislam...') Tag: KihaririOneshi
5 Januri 2025
- 14:4914:49, 5 Januri 2025 Ukoloni (hist | hariri) [baiti 18,296] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ukoloni''': Ukoloni ni hali ya ukaliwaji wa kimabavu wa taifa moja kupitia taifa jengine bila ya mamlaka halali, bali ni kwa njia ya kulazimisha na kulifanya taifa hilo, na hatimae kuwa ni taifa tegemezi, duni na lisiloendelea. Ukoloni wa Wazungu ulianza kwa kukalia kimabavu nchi za Waislamu kaskazini mwa Afrika, kisha kusambaa kwenye mataifa mengine, ikiwa ni pamoja na mataifa ya Kishia ikiwemo; Iran, Iraq, na India. Kwa mujibu wa maelezo ya watafiti m...') Tag: KihaririOneshi
1 Januri 2025
- 09:2109:21, 1 Januri 2025 Ndoa ya Misyar (hist | hariri) [baiti 10,325] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ndoa ya '''''Misyar''''' (Kiarabu: '''نِکاح مِسْیار'''): Ni aina ya ndoa kati ya Waislamu inayofanywa miongoni mwa wanajamii wa madhehebuya Sunni. Ndoa hii (kulingana na nao) ni ndoa yenye masharti kamili ya ndoa, ikiwemo; kusoma mkataba wa kisheria, uwepo wa mashahidi pamoja na malipo ya mahari. Lakini mwanamke katika ndoa hii -kwa hiari yake mwenyewe- huamua kuacha baadhi ya haki zake, ikiwemo haki ya matumizi ('''''nafaqah''''') na haki ya...') Tag: KihaririOneshi
- 09:2009:20, 1 Januri 2025 Tauthiq Aam (hist | hariri) [baiti 12,025] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Tauthiq Aam “Uthibitisho au '''Uungwaji mkono wa Kiujumla”''' (Kiarabu: '''توثیق عام'''): Ni istilahi maalumu katika taaluma ya Hadithi na fani ya ‘'''''ilmu al- rijal''''' (Elimu inayotafiti maisha na sifa za wapokezi wa Hadithi). Istilahi hii huwa na maana ya kutangaza uaminifu na uungwaji mkono wa kijulma kwa mpokezi fulani au jumla ya wapokezi fulani wa Hadithi. Kwa mfano, pale azungumzwapo mpokezi fulani wa Hadithi, huku kukiwa na udad...') Tag: KihaririOneshi
- 09:1709:17, 1 Januri 2025 Mauaji ya kukusudia (hist | hariri) [baiti 12,596] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mauaji ya kukusudia''': Ni tendo la makusudi la kuhitimisha uhai wa binadamu fulani bila idhini ya sheria, jambo ambalo limeorodheshwa miongoni mwa madhambi makubwa zaidi katika sheria za Kiislamu. Uhalifu huu wa kuua nafsi kinyume na sheria, ni miongoni mwa dhambi zinazoshutumiwa vikali na dini zote za mbinguni, pamoja na sheria za kibinadamu ulimwenguni humu. Kwa mujibu wa Aya za Qur'ani, damu ya binadamu inapaswa kuheshimiwa, na kitendo cha kumuua bi...') Tag: KihaririOneshi
- 09:1609:16, 1 Januri 2025 Kifo kwa Amerika (hist | hariri) [baiti 10,993] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Kauli mbiu ya ''"'''Kifo kwa Amerika'''"'' (Kifarsi: '''''Marg bar Amrika'''''), imekuwa ni nembo muhimu ya harakati za Kiislamu nchini Iran pamoja na baadhi ya nchi fulani duniani, hasa katika kupinga sera za serikali ya Marekani. Kauli mbiu hii, iliyozaliwa baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979, inaonekana kama ni alama ya kupinga ukoloni, ubeberu, na uingiliaji kati wa Marekani katika masuala ya mataifa mengine dunianai, hasa mataifa ya K...') Tag: KihaririOneshi ilitengenezwa hapo awali na "Kauli mbiu ya "Kifo kwa Amerika""
- 09:1309:13, 1 Januri 2025 Al-Nadhafatu Mina Al-Iman (hist | hariri) [baiti 4,802] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Al-Nadhafatu Mina Al-Iman''' "Usafi ni sehemu ya imani" (Kiarabu: '''النَّظَافَةُ مِنَ الْإِيمَانِ'''): Ni usemi maalumu unaoaminika kuwa ni Hadithi, Hadithi ambayo inahusishwa moja kwa moja na bwana Mtume (s.a.w.w). Hadihi inakusudia kusema kwamba; usafi ni ishara ya imani. Hadithi hii inapitikana katika kitabu kiitwacho "Tib al-Nabi (s.a.w.w)", kilichotungwa na '''''Abu al-Abbas al-Mustaghfiri''''' (aliyefariki mnamo mwaka 4...') Tag: KihaririOneshi
19 Disemba 2024
- 19:4919:49, 19 Disemba 2024 Hubbu al watan mina al iman (hist | hariri) [baiti 9,431] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hubbu Al-Watan Mina Al-Imaan Kiarabu حب الوطن من الایمان"''', yaani '''"Kupenda nchi ni sehemu ya imani.”''' Ni msemo maarufu unaohusishwa na maneno ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Hata hivyo, kwa mujibu wa watafiti mbali mbali kama Ayatullahi Makarim Shirazi, msemo huu haupatikani katika vyanzo asili vya Hadithi vya upande wa madhehebu yaShia, pia baadhi ya wanazuoni wameuhisabu msemo huu kuwa ni wa kutungwa na wala hauhusiani na kau...') Tag: KihaririOneshi ilitengenezwa hapo awali na "Hubbu al watan mina al imamu kitabu"
16 Disemba 2024
- 16:4016:40, 16 Disemba 2024 Niaba katika Hija (hist | hariri) [baiti 12,187] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Niaba katika Hija''': Ni dhana inayojulikana pia kwa jina la Hija ya niaba, nayo ni tendo la kutekeleza ibada ya Hija kwa niaba ya mtu mwingine. Kwa kufanikisha ibada hii kwa njia ahihi na kwa kufuata masharti yake maalumu ya kidini, wajibu wa amali ya Hija huondolewa kutoka kwa mtu anayefanyiwa ibada hiyo kwa njia ya niaba. Katika muktadha wa amali ya Hija ya farḍhi (siyo umra), yaruhusiawa mtu fulani kutekeleza Hija ya mtu mwengina kwa niaba yake,...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3916:39, 16 Disemba 2024 Dhana ya Kuharakisha Faraja (hist | hariri) [baiti 5,829] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dhana ya Kuharakisha Faraja (تَعجیل الفَرَج): Ni dhana yenye lengo la kutatua changamoto na kusubiri tukio la kudhihiri kwa Imamu Mahdi (a.f).''' Dhana hii ya ''Ta'ajil al-Faraj'' '''(تَعجیل الفَرَج)''' -yenye maana ya kuharakisha faraja- kiuhalisia katika teolojia ya Kiimamu (madhehebu ya Shia Ithna Asharia), huwa inahusishwa na dhana ya kusubiri tukio la kudhihiri kwa Imamu Mahdi (a.f). [1] Kwa mujibu wa maelezo ya mwanazuoni...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3816:38, 16 Disemba 2024 Kuzungumza kwa Nabii Isa (a.s) (hist | hariri) [baiti 4,680] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuzungumza kwa Nabii Isa akiwa katika maisha ya utotoni''': Suala la Nabii Isa kutamka na kuzungumza hali akiwa ni mtoto mchanga, ni moja ya mambo ya ajabu yanayokaribiana na hali ya miujiza. Tukio la Nabii wa Mwenyezi Mungu Isa (a.s) kuzungumza na watu hali akiwa ni mtoto mchanga, lilitendeka kwa ajili ya kumtetea mama yake (Bibi Maryam) (a.s) kutokana na tuhuma za uasherati. Katika tukio hli Nabii Isa (a.s) alionekena kumtetea mama yake, jambo lilifan...') Tag: KihaririOneshi
12 Disemba 2024
- 20:1620:16, 12 Disemba 2024 Ummu Ayman (hist | hariri) [baiti 3,744] Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Umm Ayman''' ni mmoja wa Maswahaba wa Mtume (saww) na mama yake Usama bin Zayd, ambaye Mtume Muhammad (SAW) alimtambulisha kama mmoja wa wanawake wa peponi. Baada ya kifo cha Mtume (saww.), alikuwa pamoja na Imam Ali (a.s.) kwenda kwa Abu Bakar kwa ajili ya kuidai kurejeshwa Fadak na alitoa ushahidi kwamba Mtume (saww) alimpa Fatima Zahra (as) Fadak. Ummu Ayman alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu na kuingia katika Uislamu. Pia alikuwepo katika vit...') Tag: KihaririOneshi
- 14:4114:41, 12 Disemba 2024 Barua ya Imamu Ali (as) Kwa Malik Ashtar (hist | hariri) [baiti 188,246] Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Barua ya Imam Ali (as) kwa Malik Ashtar''' ndiyo barua kubwa na yenye maelezo mengi zaidi ya Nahaj al-Balagha kuhusu suala la utawala na siasa au sera za kusimamia na kujongoza jamii. Katika barua hii kumebainishwa, kanuni, misingi, mbinu, sera na maadili ya usimamizi, utawala na uongozi. Uzingatiaji wa hali ya juu kwa tabaka lisilojiweza kimahitaji, haja ya kuainisha muda kwa ajili ya kukutana na watu, kuchagua washauri imara na wenye busara na kuzuia...') Tag: KihaririOneshi
10 Disemba 2024
- 10:5010:50, 10 Disemba 2024 Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Imam Hassan (a.s) (hist | hariri) [baiti 9,353] Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Barua ya Imam Ali (as) kwa Imam Hassan' (as)'' ni barua yenye maudhui ya masuala ya kimaadili ambayo Imam Ali (a.s.) alimwandikia mwanawe Imam Hassan (a.s.) baada ya vita vya Siffin. Barua hii imetathminiwa kuwa ya kina katika kueleza masuala ya kimalezi. Baadhi ya masuala muhimu yaliyozungumziwa katika barua hii ni: Kuelezea hatua za kujijenga na kujiboresha binafsi na thamani za kimaadili, maadili ya kijamii, kulea mtoto na njia yake ya malezi, udhar...') Tag: Visual edit: Switched ilitengenezwa hapo awali na "Barua ya Imamu Ali (as) Kwa Imamu Hassan (as)"
7 Disemba 2024
- 16:4216:42, 7 Disemba 2024 Sudair al-Sairafi (hist | hariri) [baiti 7,272] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sudair al-Sairafi: (Msimulizi Mashuhuri wa Kishia)''': Sudair al-Sairafi anajulikana kama ni mmoja wa wasimulizi maarufu wa Hadithi wa Kishia na ni miongoni mwa masahaba wa karibu wa Imamu al-Baqir na Imamu al-Sadiq (a.s). Familia yake pia ilikuwa na mchango mkubwa katika nyanja ya usimulizi wa Hadithi, kwani baba na watoto wake walikuwa ni miongoni mwa wasimulizi mashuhuri wa Hadithi na ni miongoni mwa Mashia. Takriban kuna kiasi cha Hadithi tisini zin...') Tag: KihaririOneshi
- 16:4016:40, 7 Disemba 2024 Mdhaifu wa kifikra (hist | hariri) [baiti 9,924] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mdhaifu wa kifikra “Mustadh'af Fikriyyun / مُستَضعَف فکری"''': Ni yule mtu mwenye uwezo dhaufu wa kifikra ambaye hana uwezo wa kiakili wa kutambua au kutofautisha kati ya haki na batili au hakupata fursa na wala hakuwa na uwezo wa kufikiwa na ujumbe wa dini ya Kiislamu. Hata hivyo, '''“Mustadh'af Fikriyyun / مُستَضعَف فکری"''' anayekusudiwa katika ibara hii, ni yule mtu ambaye kama Uislamu ungelimfikia basi asingekewa na pi...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3916:39, 7 Disemba 2024 Ruhullahi (Lakabu) (hist | hariri) [baiti 2,702] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lakabu ya Ruhullahi Kiarabu''' “'''''روح الله'''''” ( '''Roho ya Mungu'''): Katika mila za Kiislamu na Kishia ''"Roho ya Mungu"'' ('''''روح الله'''''), ni jina litumikalo kama lakabuni moja maalumu kuhusiana na Nabii Isa (a.s). Lakabu hii imetajwa wazi katika Hadithi mbali mbali, pia inapatikana katika vitabu kadhaa vinavyozungumzia ziara (sala na salamu) zisomwazo kwa ajili ya watukufu fulani. [1] Miongoni mwa ibara zilizobeba j...') Tag: KihaririOneshi ilitengenezwa hapo awali na "Lakabu ya Ruhullahi"
- 16:3816:38, 7 Disemba 2024 Kuvuka bahari kwa Wana wa Israeli (hist | hariri) [baiti 9,909] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuvuka bahari kwa Wana wa Israeli''': Tukio la kuvuka bahari kwa Wana wa Israeli lilikuwa ni miongoni mwa matukio muhimu na ni muujiza wa kipekee uliowakomboa kutoka katika mateso yaliyokuwa yakiwasulubu walipokuwa nchini Misri. Tukio hili lilijumuisha kupasuka kwa bahari na kuruhusu Wana wa Israeli kuvuka salama, huku Firauna na majeshi yake wakizama katika maji bila ya kupata mwokozi. Kwa mujibu wa amri ya Mwenye Ezi Mungu, Nabii Musa (a.s) aliwaongo...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3716:37, 7 Disemba 2024 Maisha ya amani ya pamoja (hist | hariri) [baiti 13,306] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Maisha ya amani ya pamoja''': ni dhana inayobeba umuhimu wa kuishi kwa maelewano na mshikamano miongoni mwa watu wa imani, itikadi, na tamaduni tofauti. Dhana hii katika Uislamu, inahisabiwa kuwa ni moja ya msingi bora ya jamii na ndio lengo la juu kabisa la maisha ya kijamii. Dini ya Kiislamu inahimiza kuheshimu haki za walio wachache kidini, pia inawataka Waislamu kushirikiana nao kwa misingi ya heshima na uadilifu. Mafundisho ya Kiislamu yanasisitiza...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3316:33, 7 Disemba 2024 Ujirani mwema (hist | hariri) [baiti 8,684] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''ujirani mwema, unaojulikana kama''' "'''''حسن الجوار'''''": ni ndharia ilioko katika maandiko ya kiislamu, inayosisitiza tabia njema kwa majirani. aya ya 36 ya '''suratu an-nisa''', inatutaka tuwatendee wema majirani zetu. Pia tukirejea kwenye hadithi mbali mbali, tutakuta maelezo kadhaa yenye kusisitiza juu ya kuwatendea wema majirani na kutowafanyia ubaya majirani zetu. hadithi ambazo zinatutaka kuchunga heshima za jirani ni kama vile tuchu...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3116:31, 7 Disemba 2024 Asma bin Khaarjah al-Fazari (hist | hariri) [baiti 9,467] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Asma bin Khaarjah al-Fazari''' (aliyefariki mwaka wa 82 Hijria) alikuwa kiongozi mashuhuri na aliyekuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa katika mji wa Kufa, hasa katika kipindi cha matukio yaliyopelekea maafa ya tukio la Karbala. Asma alishiriki katika vita vya Siffin akiwa katika jeshi la Imam Ali (a.s). Hata hivyo, baada ya vita hivyo, alihamia Kufa na kuwa karibu na watawala wa Bani Umayya, akihudumu mara kwa mara katika mji mkuu wa utawala wao. Asma p...') Tag: KihaririOneshi
- 16:3116:31, 7 Disemba 2024 Aqilah Banī Hāshim (Lakabu) (hist | hariri) [baiti 2,892] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Aqilah Banī Hāshim''': Jina la '''Aqilah Banī Hāshim''', ni jina maalumu alilopewa Bibi Zainab (a.s.), ambaye ni binti wa Imam Ali (a.s). Kwa mujibu wa kamusi kuu ya Kiarabu iitwayo Lisān al-‘Arab, ni kwamba; Pale jina au neno "‘'''''Aqilah'''''," linapohusishwa na mmoja wa watu wa kabila au kundi fulani, huwa na maana ya '''mkuu wa kabila'''. [1] Baadhi ya wanazuoni, akiwemo Ayatollahi Jawadi Amuli, wamesema kuwa; pale jina hili linapotumika...') Tag: KihaririOneshi ilitengenezwa hapo awali na "Aqilah Banī Hāshim"
- 16:3016:30, 7 Disemba 2024 Annasu Niamun Faidhaa Matuu Intabahuu (hist | hariri) [baiti 5,839] Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Annasu Niamun Faidhaa Matuu Intabahuu / النَّاسُ نِیَامٌ فَإِذَا مَاتُوا انْتَبَهُوا "Watu wamelala, na watapokufa ndipo watakapoamka":''' Ni hadithi maarufu [1] inayosimuliwa kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) [2] pamoja na Imam Ali (a.s.), [3] ikiwa ni moja ya kauli zenye maana kubwa zinazogusa undani wa maisha ya mwanadamu. Hadithi hii inatoa ukumbusho juu ya hali hailisi ya uhakika wa wanadamu, ikieleza kwam...') Tag: KihaririOneshi
1 Disemba 2024
- 10:1010:10, 1 Disemba 2024 Al-Sirah al-Mutashari’ah (hist | hariri) [baiti 11,665] Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sirah al-Mutashari'ah''' ni makubaliano ya kivitendo ya wafuasi wote au wafuasi wengi wa dini au madhehebu kuhusiana na amali maalumu. Kwa maneno mengine ni kuwa, ni kitendo na amali ya Waislamu kwa sababu wao ni Waislamu na wanashikamana na hukumu za Sharia. Sirah Mutashari’ah ni moja ya masuala ambayo yanajadiliwa katika elimu ya Usul al-Fiqih. Suala la kuwa hoja KhabAr Wahed na hoja ya dhahir ni miongoni mwa mambo ya kimsingi na muhimu ambayo yanat...') Tag: KihaririOneshi
28 Novemba 2024
- 13:2013:20, 28 Novemba 2024 Elimu ya Ghaibu (hist | hariri) [baiti 13,181] Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Elimu ya ghaibu ni kuwa na ufahamu wa mambo yaliyofichika na mambo ambayo hayawezi kueleweka kwa hisi. Kwa mujibu wa Aya za Qur’ani Tukufu, wanateolojia wa Shia wamezingatia aina mbili za elimu ya ghaibu: Moja ni elimu ya asili au dhati na inayojitegemea ya ghaibu, ambayo ina maana ya aina ya elimu ya ghaibu ambayo haiwezi kupatikana kutoka kwa mtu mwingine. Aina hii ya elimu ya ghaibu ni makhsusi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Kwa maana kwamba, ni ya Mwen...') Tag: KihaririOneshi