Kurasa mpya

Kurasa mpya
Ficha bots | Onyesha redirects
(mpya | zamani) Tazama (50 ya karibu zaidi | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • 17:31, 17 Machi 2024Bismillahi al-Rahmani al-Rahim (hist | hariri) ‎[baiti 18,680]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Bismillahi بسم الله الرحمن الرحيم : ni Aya ya Qur’ani anayo patikana mwanzoni mwa kila Sura, isipokuwa Suratu al- Tawba tu. Kuna Riwaya kadhaa zinazo elezea sifa za Aya hii; kati ya sifa zake ni kule kuhesabiwa Aya hii kuwa ni moja ya Aya bora na kubwa zaidi zilizoko ndani ya Qur’ani Tukufu. Wanazuoni Waislamu wanaichukulia بسم الله الرحمن الرحيم kuwa ni moja ya maneno na mbiu muhimu zaidi katika Uislamu na wanapen...') ilitengenezwa hapo awali na "Bismillahi al-Rahmani al-Rahim “بسم الله الرحمن الرحيم”"
  • 17:30, 17 Machi 2024Haki za Wazazi Wawili (hist | hariri) ‎[baiti 9,903]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Haki za wazazi wawili: Ni zile haki wanazostahiki kupewa baba na mama kutoka kwa watoto wao. Kuzingatia na kuchunga haki hizi kumetajwa kuwa ni miongoni mwa maagizo muhimu ya Mwenye Ezi Mungu, na kwamba baada ya haki ya Mwenye Ezi Mungu kwa waja wake, haki za wazazi ndiyo haki zinazo chhuchukuliwa nafasi ya pili juu ya shingo za watoto. Miongoni mwa haki za baba na mama kwa watoto wao zilizotajwa katika vyanzo vya kidini, ni; kuwafanyia hisani, kuwaheshimu...')
  • 17:54, 13 Machi 2024Mazungumzo Kati ya Mungu na Nabi Musa (a.s) (hist | hariri) ‎[baiti 6,420]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' Mazungumzo Kati ya Mungu na Nabi Musa (a.s): ni yale mazungumzo yaliokuwa yakijiri baina ya Mwenye Ezi Mungu na Nabii Musa (a.s), ambayo yanasemekana kuwa yalifanyika moja kwa moja bila ya kupitia Malaika fulani au mfikishaji fulani wa ujummbe wa Mwenye Ezi Mungu. Suala hili la mazungumzo baina ya Mwenye Ezi Mungu na mja wake bila ya kutumika Malaika fulani, linahisabiwa kuwa ni sifa na hadhi maalumu kwa Nabi Musa peke yake. Suala hili limezungumzwa wazi...')
  • 15:50, 13 Machi 2024Lauhu Al-Mahfudhi (hist | hariri) ‎[baiti 12,190]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Lauhu Al-Mahfudhi ( لوح المحفوظ): Ni mahali halisia pa Qurani, ambapo ndani yake kumeandikwa matukio yote ya ulimwengu, ambayo hayawezi kubadilika na kwenda kinyume na yaliomo ndani ya “Luhu al-Mahfudhi” hiyo. Kuielewa “Luhu al-Mahfudhi” ni muhimu katika kuelewa uhalisia wa Qurani. Hii ni kwa sababu ya kwamba; Kulingana na baadhi ya wafasiri, “Luhu al-Mahfudhi” ni kituo cha msingi kwa vitabu vyote vya mbinguni, ikiwa ni pamoja na Qur...')
  • 14:06, 12 Machi 2024Al-Hassan wa Al-Hussein Sayyidaa Shabaabi Ahlu al-Jannah (hist | hariri) ‎[baiti 7,618]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '“Al-Hassan wa Al-Hussein Sayyidaa Shabaabi Ahlu al-Jannah اَلْحَسَنُ و اَلْحُسَینُ سَیِّدَا شَبَابِ أَهْلِ الْجَنَّة” ni Hadithi ya bwana Mtume (s.a.w.w) kuhusiana na ubora na hadhi ya Imamu Hassan na Imamu Hussein (a.s) juu ya watu wa Peponi. Baadhi ya wanazuoni wa Kishia, waielewa na kuifasiri dhana ya Hadithi hii kwa maana ya kwamba; Maimamu wawili hawa pia ni bora zaidi kuliko watu wengine waliomo...')
  • 16:12, 11 Machi 2024Ujauzito wa Bibi Mariamu (s.a) (hist | hariri) ‎[baiti 16,410]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ujauzito wa Bibi Mariamu (Bikira Maria) (s.a) ni muujiza uliotokea katika mazingi maalumu kabisa, ambapo Bibi Mariamu binti wa Imrani (s.a), alipata ujauzito bila kushiriki tendo la ndoa na mwanamme yeyote yule, na matokeo yake ikawa ni kuzaliwa kwa Nabii Isa (Yesu) (a.s). Tukio hili la ujauzito wa Bibi Mariamu (s.a), limeelezwa wazi kabisa katika Qurani na Injili huku kukiwa na hali fulani ya kufanana juu ya sifa za Bibi Mariamu (s.a) ndani ya riwaya ya v...') ilitengenezwa hapo awali na "Ujauzito wa Bibi Mariamu (Bikira Maria) (s.a)"
  • 14:25, 10 Machi 2024Qibla (hist | hariri) ‎[baiti 5,994]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Qibla Qibla ni mwelekeo unaotakiwa kuchungwa na kuelekewa wakati wa kufanya baadhi ya matendo ya kidini na hata baadhi ya matendo ya kawaida. Qibla kimejadiliwa katika sura na milango mbalimbali ya fiqh, kama vile mlango sala, dhabihu (vichinjwa), mazishi na hija. Kila dini ina qibla chake. Kwa Waislamu, qibla chao ni Kaaba ilioko Makka. Kwa Wayahudi ni Mwamba wa Hekalu la Mlima Moria (Beitul Muqaddas). Kwa Wakristo ni upande wa mashariki. Kwa mujibu wa fi...')
  • 09:12, 7 Machi 2024Zaburi (hist | hariri) ‎[baiti 6,837]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Zaburi ni kitabu cha mbinguni kilichoteremshwa alicho teremshiwa nabii Daudi (a.s). Zaburi haikuja na amri na sheria mpya kutoka kwa Alla, ila ndani mna nasaha na mawaidha, dua, na maombi mbali mbali. Kulingana na aya za Qur’an, Nabii Daudi amefadhilishwa zaidi na kupandishwa daraja zaidi kuliko manabii wengine kutokana na Zaburi aliyo teremshiwa na Mola wake. Kulingana na baadhi ya Hadithi, Zaburi ni moja ya amana na hazina za Maimamu ambayo ndani yake...')
  • 09:11, 7 Machi 2024Sirdabu takatifu (hist | hariri) ‎[baiti 8,474]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Sirdabu takatifu au Sardabu ya Ghaiba ilioko chini ya nyumba ya Imamu Hasan Askari (a.s), iko kaskazini magharibi mwa Haramu ya Askariyyaini huko Samarra. Utakatifu wa mahali hapa unaoaminiwa na Mashia, unatokana na ukweli wa kwamba; Eneo hilo lilikuwa ndio makazi ya Imamu Hadi (a.s), Imamu Askari (a.s), na Imamu wa Zama (Mahdi) (a.f). Baadhi ya waandishi wa Sunni wanawatuhumu Mashia kwa kuamini kwamba; Sirdabu ya Ghaiba ndio mahali anapoishi Imamu Mahdi...')
  • 09:09, 7 Machi 2024Ibara ya Kun Fayakun (hist | hariri) ‎[baiti 4,587]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ibara isemayo: “Kun Fayakun کُنْ فَیَکونُ” inamaanisha kauli ya amri ya kukiamrisha kitu fulani kwa kiambia: “Kuwa! Nacho kikawepo”. Ibara iirejelea matakwa ya Mwene Ezi Mungu katika uumbaji wake wa vitu mbali mbali kwa mapenzi Yake. Kauli hii imetajwa mara kadhaa katika Quran, hadithi, na mashairi ya Kifarsi. Wafasiri wa madhehebu ya Imamiyyah (Shia Ithnaashariyyah) wanaijengea kauli hii taswira ya kwamba; Matakw ya Mwenye Ezi Mungu,...')
  • 09:08, 7 Machi 2024Aya ya Sa’ala Saailun (hist | hariri) ‎[baiti 8,603]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya “Sa’al Sa’ilun سَأَلَ سائِل”au Aya ya “Adhabun waaqiun عذاب واقع”: Ni jina maarufu za Aya mbili za mwanzoni mwa za Suratu al-Ma’arij. Kiuhalisia Aya hizi zinahusiana na ombi la kushuka kwa adhabu kutoka kwa Mungu lililo ombwa na mtu mmoja ambaye asiye amini Mungu. Kulingana na maelezo ya wafasiri; Baada ya mtu huyu kuomba ombi hilo, Mwenye Mungu alismhushai jiwe juu ya kichwa kutoka mbinguni na kumuua papo hapo. Wafa...')
  • 09:06, 7 Machi 2024Aya ya Anfalu (hist | hariri) ‎[baiti 7,274]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya Anfalu: Ni Aya ya Kwanza ya Suratu al-Anfalu. Aya hii kiuhalisia inakusudia kutoa tangazo la wazi ya kwamba; Mwenye Ezi Mungu na Mtume wake (s.a.w.w) ndio wamiliki wenye haki kamili juu ya mali zote zisizomilikiwa na watu fulani ikiwemo ngawira zinazokusanywa kutoka vitani. Mwanazuoni maarufu aitwaye Tabatabai pamoja na Makarim Shirazi, wote waili wakiwa ni wafasiri wa Qur’ani, wameihisabu mali ya ngawira kuwa ni miongoni mwa mali za anfali. Ila...')
  • 09:05, 7 Machi 2024Aya ya Amman Yujiibu (hist | hariri) ‎[baiti 7,892]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' Aya ya “Amman Yujiibu آیه اَمَّن یُّجیب”: Ni kifungu cha Aya ya 62 ya Suratu An-Naml kinacho eleza ya kwamba; Mwenye Ezi Mungu ndiye msikivu pekee wa maombi anayetatua matatizo ya binadamu. Ibara ya Aya hiyo ni kama ifuatavyo: “اَمَّن یُّجیبُ المُضطَرَّ اِذا دَعاهُ وَ یَکشِفُ السُّوءَ؛” “Je, yupo yule anayejibu kilio cha mwenye dhiki anapomwomba na kuyaondoa maovu; au kwa lugha...')
  • 09:04, 7 Machi 2024Aya ya Fitra (hist | hariri) ‎[baiti 5,556]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya Fitra ambayo ni Aya 30 ya Suratu al-Ruum: Inaonyesha wazi ya kwamba mwanadamu ana asili ya kiroho ni maumbile ya kufungama na dini. Kulingana na maoni ya wafasiri wa dini ya Kiislamu, ni kwamba; dini ya Kiislamu ni dini imefumwa kwa mfumo wa shria ziendazo sawa na matqwa ya fitra (dhati na asili) ya mwanadamu. Katika kitabu cha majma’u al-Bayani, neno “hanifa” lililotumika katika Aya hiyo limefasiriwa likiwa na maana ya kuwa imara katika dini...') ilitengenezwa hapo awali na "Fitra"
  • 09:01, 7 Machi 2024Ughulati (hist | hariri) ‎[baiti 51,170]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ughulati “غُلُوّ”: Ni kule muumini kuwa na imani za kupindikia mipaka na kutoka nje ya uwiano wa mizani ya dini, ambapo muumini huwa na imani za zisizo za wastani kuhusiana na haki za Manabii na Maimamu. Kuwa na msimamo wa kupindukia mipaka (Ughulati) ni miongoni mwa nyenendo potovu za dini ambazo pia zlikuwepo mara kwa mara katika historia ya mwanadamu. Baadhi ya mifano ya msimamo kupindukia mipaka (Ughulati) ni pamoja na: kuamini kuwa Nabii au...')
  • 08:59, 7 Machi 2024Shufaa (hist | hariri) ‎[baiti 23,388]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Shufaa شفاعة‏ (Uombezi) ni mojawapo ya imani za pamoja kati ya Waislamu. Maana ya shufa ni kuomba msamaha kwa niaba ya watu wengine mbele ya Mwenye Ezi Mungu, yaani kwa lungha nyengine ni kuwaombea wengine msahaha mbele ya Allah. Hata hivyo, kuna tofauti za maoni miongoni mwa wanazuoni wa Kiislamu kuhusiana na maana halisi ya dhana ya shufaa na mipaka yake. Madhehebu ya Imamiyah, Murji'ah na Ash'ari yanaamini kuwa; Shufaa pia huunajumuisha watu wal...')
  • 08:58, 7 Machi 2024Maghulati (hist | hariri) ‎[baiti 21,969]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Maghulati “غُلات” ni watu wanaompa Imamu Ali (a.s) na wanawe sifa za kiungu au za kinabii na kuzidisha au kutia chumvi katika wasifu wao. Vitabu vinavyochunguza madhehebu mbalimbali vinatafautiana katika kuorodhesha idadi ya madhehebu ya Maghulat; idadi ndogo kabisa iliorikodiwa kuhusiana nao tisa na idadi kubwa ikiwa ni mia moja. Baadhi ya madhehebu maarufu ya Maghulat yaliyotajwa katika vitabu hivyo ambayo yamenasibishwa na Shia ni pamoja na: Sa...')
  • 08:55, 7 Machi 2024Kadhmu al-ghaidhi (hist | hariri) ‎[baiti 9,309]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ibara ya Kadhmu al-ghaidhi کَظْمِ غَیْظْ: Inatoka katika lugha ya Kiarabu, ambayo humaanisha kuvumilia na kudhiti hasira, jambo ambalo ni mojawapo ya sifa bora za kimaadili katika Uislamu. Hadithi zinlihisabu jambo hili kuwa ni moja ya sababu zinazo pelekea mtu kuepukana na hasira pamoja na ghadhabu za Mwenye Ezi Mungu, na badala yake hupelekea mtu kuoppata radhi za Mola wake. Wanazuoni wa fani ya maadili wamejadili sifa hii chini kufungu kinac...')
  • 14:16, 17 Fubuari 2024Samaki mwenye magamba (hist | hariri) ‎[baiti 7,230]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Samaki mwenye magamba''' ni samaki ambaye ni halali kuliwa. Katika fikihi ya Kishia, samaki kuwa na magamba ni kigezo cha kuwa kwake halali. Baadhi ya wanazuoni wa fikihi wanaitambua hukumu hii kuwa ni mahususi na maalumu kwa Waislamu wa Shia Imamiyah. Katika hadithi...')
  • 13:07, 15 Fubuari 2024Kuishi kinyumba (hist | hariri) ‎[baiti 4,501]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuishi kinyumba (White Marriage au Cohabitation)''' ni aina ya mahusiano ya kimapenzi baina ya mwanaume na mwanamke ambayo yako nje ya misingi na sheria za ndoa. Katika utamaduni wa Kiarabu aina hii ya mahusiano inafahamika kwa jina la “kuwa pamoja”. Kwa mujibu wa wanazuoni wa fikihi wa Kishia aina hii ya mahusiano ni haramu na kisheria haihesabiwi kuwa ni ndoa; kwani hayajatimiza masharti ya lazima ya ndoa kama kusomwa tamko la kufunga ndoa na pand...') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:28, 15 Fubuari 2024Sariyya (hist | hariri) ‎[baiti 18,694]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na vita ambavyo Mtume (s.a.w.w) hakushiriki. Kwa maana kwamba, vita ambavyo Mtume hakushiriki vinajulikana kwa jina la Sariyya. Ili kujua kuhusiana na vita vyote vya Mtume angalia makala ya vita vya Mtume (s.a.w.w). Sariyya au Ba’ath ni vita vilivyopiganwa na Waislamu katika zama za uhai wa Bwana Mtume (s.a.w.w) bila ya Mtume kushiriki katika vita hivyo. Bali vilipiganwa kwa uongozi na ukamanda wa mmoja wa masahaba wa Mtume (s.a.w....') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:39, 8 Fubuari 2024Muhammad bin Ali al-Shalmaghani (hist | hariri) ‎[baiti 6,001]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Muhammad bin Ali al-Shalmaghani''' (aliuawa: 323 H) mashuhuri kama al-Azaqiri, ni mmoja wa watu waliokuwa wakidai Unaibu wa Imamu Mahdi (atfs) na ni kutokana na sababu hiyo kukatolewa tawqi' (barua) kutokka kwa Imamu Mahdi (atfs) ya kumpinga. Shalmaghani alikuwa mmoja wa masahaba wa Imamu Hassan Askary (as) na mafakihi wa Kishia katika zama za Ghaiba Ndogo (Ghaibat al-Sughra). Kwa mujibu wa taarifa za waandishi wa wasifu wa wataalamu wa elimu ya hadit...') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:23, 8 Fubuari 2024Hussein Badreddin al-Houthi (hist | hariri) ‎[baiti 9,454]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hussein Badreddin al-Houthi''' (1959-2004) ni muasisisi na kiongozi wa kwanza wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen. Alikuwa mfuasi wa madhehebu ya Shia Zaidiyyah na akiwa ameathirika na fikra na mitazamo ya Imamu Khomeini, aliliweka suala la uadui dhidi ya Marekani na Israel katika nara zake na alibainisha kadhia ya Palestina kuwa ni katika masuala yanayopewa kipaumbele na yeye na harakati yake. Hussein Badreddin al-Houthi alianza harakati zake za kisiasa...') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:48, 7 Fubuari 2024Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) (hist | hariri) ‎[baiti 15,953]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Chuki dhidi ya Uislamu ni kuleta hofu na chuki zilizoratibiwa kuhusiana na Uislamu na madhihirisho ya Waislamu na kuwaonyesha watu wengine kwamba, dini hii ni tishio na hatari. Chuki dhidi ya Uislamu ni kuonyesha kuwa jambo la kawaida na kujuzisha aina mbalimbali za ubaguzi, utumiaji mabavu, ukatili na kutekeleza vitendo vya kuwatenga na kuwanyima haki Waislamu na taasisi na mashirika ya Kiislamu. Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) inachukuliwa kuwa jam...') Tag: Visual edit: Switched
  • 14:58, 5 Fubuari 2024Mirathi (hist | hariri) ‎[baiti 15,187]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mirathi (urithi) ni mali au haki maalumu inayotolewa kwa warithi baada ya kifo cha mtu fulani ambaye wao wana husiana na kwa uhusiano maalumu wa kifamilia. Mali hii huwafikia wao baada ya wahusika wa maiti huyo kulipa haki na madeni ya marehemu. Warithi humilikishwa kisheria sehemu yao ya mirathi kulingana na tofauti zao katika daraja za mirathi. Mambo mawili kisheria (kifiqhi) ni lazima yazingatiwe katika sula la ugawaji wa mali ya urithi; la kwanza ni uk...')
  • 14:39, 4 Fubuari 2024Vita vya Imamu Ali (a.s) Nchini Yemen (hist | hariri) ‎[baiti 10,767]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Sariyyah au safari ya kivita ya Imamu Ali (a.s) ya kuelekea nchini Yemen, ilikuwa ni jukumu lililotolewa na bwana Mtume (s.a.w.w) kwa Imamu Ali (a.s), kwa ajili ya kueneza Uislamu katika eneo hilo. Ripoti kadhaa zinasema kuwa; Imamu Ali (a.s) alifanya safari mbili au tatu kwenda nchini Yemen. Katika safari hizi, Imamu aliweza kulingania kabila za Hamdan na Madh-hij na kuzifanya zikubali kuingia katika Uislamu. Jambao ambalo lilikuwa ndio msingi wa kabila...')
  • 14:38, 4 Fubuari 2024Hadithi ya Makarimu al-Akhlaqi (hist | hariri) ‎[baiti 10,671]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '“إِنَّمَا بُعِثْتُ لِأُتَمِّمَ مَکَارِمَ الْأَخْلَاق،” “Inna maa bu’ith-tu liutammima makaarima al-akhlaaqi” (Hakika mimi nimetumwa kwa ajili ya kukamilisha maadili ya juu ya tabia njema): Ibara hii ni Hadithi itokayo kwa bwana Mtume (s.aw.w.), ambayo inafafanua kuwa; Malengo ya kutumwa kwa bwana Mtume (s.a.w.w), ni kukamilisha tabia njema. Kulingana na Hadithi hii, bwana Mtume (s.a.w.w) amesema ya...')
  • 14:35, 4 Fubuari 2024Aya ya Siqayatu al-Hajji (hist | hariri) ‎[baiti 21,795]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya Siqayatu al-Hajji ambayo ni Aya ya 19 ya Suratu al-Tawba: inatanguliza imani ya kumwamini Mwenye Ezi Mungu, Siku ya Hukumu (Kiama) na Jihad katika njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni amali bora zaidi kuliko kuwanywesha maji mahujaji na kushika funguo za Masjidi Al-Haram. Sababu za kuteremshwa kwa Aya hiyo zimetajwa kuwani, pale Abbas bin Abdu al-Muttalib alipojivunia kupokea mahujaji, na Shaiba bin Othman kujivunia kushika funguo za Al-Kaaba. Imamu Ali (...')
  • 14:34, 4 Fubuari 2024Aya ya Shahidun (hist | hariri) ‎[baiti 11,599]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya “Shahidun” ni Aya 17 Suratu Hud, nayo ni Aya inayohusina na uthibitisho wa kuthibitisha madai ya utume wa bwana Mtume (s.a.w.w) kupitia ushahidi wa Qur'ani, vitabu vitakatifu vilivyotangulia pamoja na waumini wenye imani ya kweli. Aya hii iliteremka ili kuimarisha imani ya Mtume (s.a.w.w) na kuthibitisha utume wake, baada ya washirikina kumtuhumu bwana Mtume (s.a.w.w) kwa kusema uwongo. Katika vyanzo vya Hadithi vya pande zote mbili za Shia na...') ilitengenezwa hapo awali na "Aya ya “Shahidun”"
  • 14:32, 4 Fubuari 2024Aya ya Istirja’a (hist | hariri) ‎[baiti 8,665]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya "Istirja’a": Ni Aya 156 ya Suratu al-Baqara ambayo inaashiria kurudi kwa watu mbele ya Mwenyezi Mungu. Aya hii inatajwa kuwa ni sunna iliyopendekezwa kusomwa wakati wa kufikwa na msiba na taabu fulani. Katika tafsiri za Kishia, kama vile “Tafsir Tibiani” na “Majma’a al-Bayani”, Aya hii imetajwa kuwa ni moja ya ishara mwanadamu kukiri utumwa na utiifu wake mbele ya Mwenye Ezi Mungu na kuamini Siku ya Kiyama. Ayatullahi Tabatabai katika ki...') ilitengenezwa hapo awali na "Aya ya "Istirja’a""
  • 14:31, 4 Fubuari 2024Uimamu au Uongozi (hist | hariri) ‎[baiti 23,839]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Uimamu: Ni uongozi wa kidini na kidunia wa jamii ya Kiislamu na unaoshika na kuendeleza nafasi ilioachwa na Mtume (s.a.w.w) katika uongozi huo wa mambo ya kidini na kidunia. Mafundisho haya ya kushikamana na imani ya Uimamiu, ni sehemu ya imani ya Kiislamu ya madhehebu ya Kishia na ni moja ya tofauti kuu za imani kati ya Kishia na Sunni. Kuzingatia kwao umuhimu wa suala la Uimamu kumepelekea Waislamu hao wa madhehebu ya Shia kupewa jina la Imamiyyah. Hakun...')
  • 14:29, 4 Fubuari 2024Kutendea Wema Wazazi Wawili (hist | hariri) ‎[baiti 11,211]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Kutendea wema wazazi wawili: Humaanisha kuwaheshimu baba na mama, kuwatukuza na kutenda aina yeyote ile ya matendo ambayo kimantiki huhesabiwa kuwa ni kwao. Katika Qur'an, suala la kuwatendea wema wazazi walili linawekwa sambamba na amri ya kumwabudu Mwenye Ezi Mungu. Wafasiri wa Qur'an wamifasiri amri hii kwa kuhusisha na aina zote za wazazi, iwe ni makafiri au Waislamu, na iwe ni watenda mema au watenda maovu. Katika vyanzo vya Hadithi za Kishia na Kisun...')
  • 14:28, 4 Fubuari 2024Imamu Hadi (a.s) (hist | hariri) ‎[baiti 34,760]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ali bin Muhammad, anaye tambulikana kama Imamu Hadi au Imamu Ali al-Naqi (a.s) (aliyezaliwa mwaka 212 na kufariki 254 Hijiria), ni Imamu wa kumi wa Mashia na ni mwana wa Imamu Jawad (a.s). Yeye alishika nafasi ya Imamu kwa muda wa miaka 34, kuanzia mwaka 220 hadi 254. Kipindi cha Uiamu wa uimamu wa Imamu Hadi, kiliwafikiana na utawala wa Makhalifa kadhaa wa Banu Abbasi waliokuwa wakiongoza wakati huo, ikiwa ni pamoja na Mutawakkil. Kipindi chake kikubwa ch...')
  • 14:27, 4 Fubuari 2024Aya za Bara-a (hist | hariri) ‎[baiti 14,529]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya za Bara-a: Ni Aya za kwanza katika Suratu al-Tawba ambazo zimeelezea hukumu za mwisho kuhusu uhusiano wa Waislamu na washirikina. Katika Aya hizi, Mwenye Ezi Mungu amemuaru Mtume wake (s.a.w.w) na Waislamu kudhihirisha hasira na kujitenga kwao dhidi ya washirikina, kuachana na mikataba waliyofunga nao, na ikiwa washirikina hawataingia katika Uislamu, basi watamgaze vita dhidi yao. Aya hizi ziliwasilishwa kwa washirikina siku ya sikukuu ya kuchinja (Idu...')
  • 14:27, 4 Fubuari 2024Aya ya Amana (hist | hariri) ‎[baiti 11,667]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Aya ya Amana (Ahzab: 72): Ni Aya inayo zungumzia wajibu (uzito) wa amana ambao Mungu ameuweka juu shingo ya mwanadamu. Kulingana na Aya hii, kwanza kabisa Mwenye Ezi Mungu aliitaka amana hiyo ichukuliwe mbingu, ardhi, pamoja na milima, lakini vitu hivyo havikukubali kubeba jukumu la amana hiyo. Ila binadamu aliikubali na kuwajibika nayo. Wafasiri wa Kiislamu wamejadili sana kuhusina na maana hasa ya amana hii, na ni kwa nini mbingu, ardhi, na milima hviik...')
  • 07:32, 4 Fubuari 2024Kuvunja Ibrahim masanamu (hist | hariri) ‎[baiti 7,124]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuvunja masanamu Ibrahim''' kunaashiria tukio la Nabii Ibrahim (as) kuvunja masanamu ya washirikina. Mkasa huu umetajwa na kuelezwa katika Qur'ani katika Sura za Anbiya na Saffat. Kwa mujibu wake ni kuwa, siku moja watu waliondoka na kwenda nje ya mji. Nabii Ibrahim akaenda katika jumba la masanamu na akayavunja masanamu yote isipokuwa sanamu kubwa kuliko yote. Baada ya watu kurejea na kumuuliza sababu ya kuvunjwa masanamu. Ibrahim akasema kwa kinaya kw...') Tag: Visual edit: Switched
  • 07:13, 4 Fubuari 2024Kutekeleza ahadi (hist | hariri) ‎[baiti 6,189]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kutekeleza ahadi''' ni katika tabia njema za kimaadili jambo ambalo limekokotezwa na kutiliwa mkazo katika Qur'ani na hadithi. Kwa mujibu wa hadithi mbalimbali za Kiislamu, kutekeleza au kutimiza ahadi ni katika asili ya dini, ishara ya yakini na kiini cha dini zote. Katika Qur'ani Tukufu, Mwenyezi Mungu ameisifu sifa hii na katika hadithi imetambulishwa kama sifa maalumu ya Maimamu wa Shia. Wafasiri wa Qur'an wanasema kuwa, katika Qur'ani tukufu Mwenye...') Tag: Visual edit: Switched
  • 06:56, 4 Fubuari 2024Kumtembelea mgonjwa (hist | hariri) ‎[baiti 5,284]Bendera (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kumtembelea mgonjwa''' ni katika adabu za Kiislamu ambazo zimetajwa katika hadithi kuwa ni miongoni mwa amali na matendo bora kabisa.  Katika vyanzo vya hadithi vya Kishia, kuna makumi ya hadithi zilizonukuliwa kuhusianaa na maudhui hii. Kumtembelea mgonjwa na kwenda kumjulia hali zilikuwa ni katika sira na mwenendo wa Mtume (s.a.w.w) na Maimamu (a.s), na katika hadithi zilizopokewa na Waislamu wa Kishia inaelezwa kwamba, ni katika haki zilizobainishwa...') Tag: KihaririOneshi
  • 19:54, 13 Januri 2024Nabii Ibrahimu (hist | hariri) ‎[baiti 22,428]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Nabii Ibrahimu, ambaye pia anajulikana kwa jina la Ibrahimu Khalilu: Ni nabii wa pili miongoni mwa manabii wa Ulu al-Azmi. Ibrahimu aliteuliwa kuwa nabii kati ya watu wa Mesopotamia (baina ya mto Euphrates Tigris), kwa ajili ya kumlingania mtawala wa wakati huo (Namrudh), pamoja na watu waliokuwa wakiishi eneo hilo kwenye imani ya Mungu mmoja. Ni watu wachache tu miongoni mwao walikubali mwaliko wake, hivyo alipokata tamaa katika kuwalingania watu hao alih...')
  • 14:28, 13 Januri 2024Vita vya Mtume (s.a.w.w) (hist | hariri) ‎[baiti 21,251]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Vita vya bwana Mtume (s.a.w.w) ni vile vita vilifanyika baada ya Hijra ya bwana Mtume (s.a.w.w) kutoka Makka na kuhamia Madina, vita ambavyo vilifanyika kwa lengo la kulinda jamii ya Kiislamu na kuanzisha dola ya Kiislamu. Kulingana na baadhi ya wanazuoni, vita vyote hivi vilifanyika kutokana na ukiukaji wa mapatano na makubaliano uliofanya na Wapagani (Makafiri) au kutokana harakati zao za kijeshi dhidi ya Waislamu. Kwa hivyo, madai ya Wamagharibi kwamba...')
  • 14:27, 13 Januri 2024Taqwa (hist | hariri) ‎[baiti 20,597]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Taqwa (uchamungu): Ni hali maalumu au nguvu zilizoko katika roho ya mtu fulani, zinazompa yeye kinga ya kiroho na kimaadili; kwa njia ambayo ikiwa atajikuta katika mazingira ya dhambi, hali hiyo na zile nguvu za kiroho alizokuwa nazo humhifadhi na kumkinda na dhambi hizo. Katika Qur'ani, hadithi za Mtume (s.a.w.w) pamoja Riwaya za Maimamu Matakatifu ambao ni Maasmina (a.s) na pia kwenye maneno ya wanazuoni wa dini kuna masisisitizo makuwa juu ya umuhimu wa...') ilitengenezwa hapo awali na "Taqwa na Uchamungu"
  • 14:25, 13 Januri 2024Miqdad bin Amru (hist | hariri) ‎[baiti 19,733]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Miqdad bin Amru, anayejulikana pia kama Miqdad bin Aswad (aliyezaliwa mwaka 33 Hijiria), alikuwa miongoni mwa masahaba wakubwa wa bwana Mtume (s.a.w.w) na ni miongoni mwa Mashia (wafwasi) wa kwanza wa Imam Ali (a.s). Miqdad alisilimu mwanzoni mwa Utume wa Mtume Muhammad (s.a.w.w) naye alikuwa ni miongoni mwa watu wa kwanza kudhihirisha Uislamu wao. Alishiriki katika vita vyote vya mwanzo vya Uislamu. Miqdad hutajwa na kusifiwa sambamba na Salman Farsi, Amm...')
  • 14:24, 13 Januri 2024Kusema Uwongo (hist | hariri) ‎[baiti 10,846]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Uwongo: ni kusema maneno yaendayo kinyuma na uhalisia wa jambo lilivyo, tendo ambalo halikubali wala kupendeza mbele ya jamii, pia tendo kidini, huhisabiwa kuwa ni miongoni mwa dhambi kuu. Quran na Hadith, na inachukuliwa kama ufunguo wa maovu yote na muharibifu wa imani. Khulka hii ya kusema uwongo, imekemewa vikali ndani ya Qur’ani na Hadithi na kuhisabiwa kuwa ndio funguo ya maovu. Qur’ani na Hadithi zimelichukulia tendo hili kuwa; ni adui atokomeza...')
  • 14:23, 13 Januri 2024Udhu wa Jabira (hist | hariri) ‎[baiti 2,937]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Udhu wa jabira: Ni mojawapo ya aina za udhu. Udhu huu na kwa ajili ya mtu mwenye jeraha au mvunjiko kwenye sehemu ya viungo vya mwili ambavo ni viungo vipaswavu kutiwa udhu wakati wa kutenda ibada maalumu. Udhu hufanyika iwapo mtu atashidwa kuosha viungo hivyo, au kupangusa juu yake kwa maji. Katika hali kama hiyo yabidi mtu atie udhu kama kawaida, na pale afikapo kwenye eneo la jaraha au mvunjiko huo, itabidi aweke kitambaa au plastiki juu yake, kisha apa...')
  • 14:22, 13 Januri 2024Udhu al-Irtimasi (hist | hariri) ‎[baiti 4,125]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Udhu al-Irtimasi (Udhu wa Kuchovya): Ni mojawapo ya njia za kutia udhu ambapo, baada ya mtu kutia nia, [1] Huingiza uso na kisha mikono yake ndani ya maji kwa nia ya kutia udhu. [2] Pia ni halali kwa mtia udhu kuingiza viungo ndani ya maji, kisha atie nia ya udhu, na kisha avito viungo hivyo nje ya maji. [3] Katika udhu wa al-Irtimasi, baada ya mtu kuingiza uso na mikono yake ndani ya maji, hufuatia tendo la kufuta kichwa na miguu. [4] "Irtimasi" ni neno l...') ilitengenezwa hapo awali na "Udhu al-Irtimasi (Udhu wa Kuchovya)"
  • 14:07, 13 Januri 2024Suratu al-Qadri (hist | hariri) ‎[baiti 16,082]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Suratu al-Qadri: Ni Sura ya themanini na saba ya Qur’ani tukufu ilioko katika juzuu ya 30 ya Qur’ani tukufu, na mojawapo ya Sura zilizo shuka katika mji wa Makka. Jina Qadri limetokana na Aya zake za mwanzo ambazo zinazungumzia kushuka kwa Qur'an katika usiku wa Qadri (Usiku Wenye Cheo) na umuhimu wa usiku huo. Suratu al-Qadri inazungumzia juu ya ukuu, fadhila na baraka za usiku wa Qadri na kushuka kwa Malaika wa rehema katika usiku huo. Mashia wanatum...')
  • 14:05, 13 Januri 2024Sheikh Mufidu (hist | hariri) ‎[baiti 16,591]Saasamar (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Muhammad bin Muhammad bin Nu’uman, maarufu kama Sheikh Mufid (alizaliwa mwaka 336 au 338 kufariki 413 Hijiria). Sheikh Mufid alikuwa mwanatheolojia na mwanazuoni wa Kiimamiyya (Shia Ithaasharia) katika karne ya nne na ya tano Hijria. Yasemekana kuwa; Sheikh Mufid alivumbua njia mpya ya ijtihad baada ya kutunga fani ya elimu ya usul al-fiqh, ambayo ilikuwa njia ya wastani kati ya mtazamo wa mkali wa kiakili uliopita budi na mtazamo iliotegemea Riwaya kavu...')
  • 14:01, 13 Januri 2024Saqi Kawthar (hist | hariri) ‎[baiti 2,683]TawakkalMS8 (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Saqi Kawthar Katika Uislamu bali katika istilahi za upande wa madhehebu ya Shia, jina Saqi Kawthar ساقی کوثر ni jina maarufu la Ali bin Abi Talib. Jina hili linamaanisha kwamba yeye ni mnyweshaji atakaye wanywesha watu maji kutoka katika chemchemi ya Kawthar. Saqi Kawthar ni mchanganyiko wa maneno mawili; “Saqi” na “Kawthar”. “Saqi” inamaanisha mnyweshaji au anayetoa kinywaji (pombe) na kuwapa wengine. [1] Hapo zamani neno, “Saqi”...')
  • 13:59, 13 Januri 2024Kuuawa Kwa Nafsu Zakiyya (hist | hariri) ‎[baiti 5,248]TawakkalMS8 (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Kifo cha Nafsu Zakiyyah ni moja ya ishara za kudhihiri kwa Imamu Mahdi (a.s), tukio hili linaashiria kuuliwa kwa mtu mmoja kutoka upande wa wafuasi wa Imamu Mahdi (a.s) karibu na Kaba. Kulingana na Riwaya, Nafs Zakiyyah ni mtu kutoka upande wa kizazi cha Imamu Hussein (a.s) na atauawa kabla ya kudhihiri kwa Imamu Mahdi (a.s) katika Masjid al-Haram. Kulingana na baadhi ya riwaya, kifo cha Nafsu Zakiyyah kimeorodheshwa miongoni mwa dalili za wazi za kudhihir...')
  • 13:47, 13 Januri 2024Riwaya ya Ndoa ya Ali na Fatima (a.s) (hist | hariri) ‎[baiti 13,528]TawakkalMS8 (majadiliano | michango) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Riwaya ya Ndoa ya Ali (a.s) na Fatima (a.s); ni riwaya kuhusiana na ndoa ya Imamu Ali (a.s) na bibi Fatimah (a.s), ambaye ni binti wa bwana Mtume Muhammad (s.a.w.w). Kulingana na vyanzo vya Hadithi ni kwamba; Kabla ya Imam Ali (a.s) kupeleka posa kwa ajili ya binti huyu, tayari watu wengine walikuwa wameshatangulia kutaka kufunga ndoa na Fatima (a.s), lakini bwana Mtume (s.a.w.w) aliwajibu kuwa suala la ndoa ya Fatima (a.s) liko mikononi mwa Mwenye Ezi Mun...')
(mpya | zamani) Tazama (50 ya karibu zaidi | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)