Michango ya mtumiaji Saasamar
Mandhari
A user with 286 edits. Account created on 13 Juni 2023.
19 Machi 2025
- 15:1915:19, 19 Machi 2025 tofauti hist +11,185 P Shahada ya Tatu katika Adhani na Iqama Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Shahada ya Tatu katika Adhani na Iqama: Shahada ya Tatu: ni kutoa ushuhuda juu ya nafasi ya Ali (a.s) baada ya shahadatain (Kushuhudia kuwa Mungu ni MMoja tu na Muhammad ni Mjumbe Wka), zoezi hili hutimia kwa kusema «أشهَدُ أَنّ عَليّاً ولِيُّ الله» au «أشهَدُ أَنّ عَليّاً حُجَّةُ الله», katika adhani pamoja na iqama. Kulingana na maoni maarufu ya wanazuoni wa taaluma ya fiqhi wa madhehebu ya Imami...' ya kisasa
18 Machi 2025
- 15:2715:27, 18 Machi 2025 tofauti hist +7,853 P Mauaji yanayotokana na huruma Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' Mauaji yanayotokana na huruma (Euthanasia): Ni kitendo cha kuondoa maisha ya mtu kutokana na kumhurumia, kwa sababu ya ugonjwa usiotibika unaomletea mateso makali. Kitendo hichi kinaweza kufanyika kwa kutumia dawa ya kuua isiyo na maumivu, au kwa kuacha kutoa huduma msingi za matibabu. Njia ya kwanza katika zoezi hili inajulikana kwa jina la “active euthanasia” (mauaji ya haraka), huku njia ya pili ikiitwa “passive euthanasia” (mauaji taratibu). Z...' ya kisasa
- 13:3213:32, 18 Machi 2025 tofauti hist +11,152 P Dhima za Kisheria Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Dhima za Kisheria “Kiarabu تکلیف الشرعی”: Ni wajibu na majukumu ya kidini ambayo Uislamu humtaka muumini kuyatekeleza. Kuna masharti maalumu yanayozingatiwa na mafaqihi, ili muumini akabiliwe na majukumu hayo. Masharti hayo ni; akili timamu, kubalehe, pamoja na kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu hayo. Mtu asiyekamilisha moja ya nguzo hizi, hawi ni miongoni mwa wahusika wanaotakiwa kutekeleza majukumu ya kisheria. Taklifa au majukumu ya kis...' ya kisasa
- 10:3310:33, 18 Machi 2025 tofauti hist +2,132 P Saumu ya kuukaribisha mwezi wa Ramadhani Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Saumu ya kuukaribisha mwezi wa Ramadhani: ni zoezi la kufunga siku moja au zaidi kabla ya kuingia kwa mwezi wa Ramadhani. [1] Ingawa istilahi hii haihisabiwi kuwa ni miongoni mwa istilahi zenye nafasi katika vyanzo vya kifiqhi, ila ni istilahi mashuhuri iliozoeleka kijamii na kiutamaduni. Istilahi hii inahusishwa na saumu zinazofungwa katika siku za mwisho za mwezi wa Shaaban kama maandalizi ya kuukaribisha mwezi wa Ramadhani. [2] Kulingana na moja ya Riw...' ya kisasa
16 Machi 2025
- 16:5416:54, 16 Machi 2025 tofauti hist +11,366 P Wajibu wa Kumshukuru Mneemeshaji Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Wajibu wa Kumshukuru Mneemeshaji: Wajibu wa kumshukuru Mneemeshaja (وجوب شکر مُنعِم) au mfadhili ni istilahi maalumu inayotumiwa na wataalamu wa taaluma ya wanatheolojia. Nayo ni ibara yenye maana ya kwamba; kuwepo kwa hisia ya wajibu ndani ya tabia ya mwanadamu, inayomlazimisha au kumpa msukumo wa kumshukru yule anayemneemesha mwanadamu. Wajibu huu wa kumshukuru mtoaji wa neema, umechukuliwa kama ni kanuni ya kiakili au hukumu ya kisharia am...' ya kisasa
- 16:5116:51, 16 Machi 2025 tofauti hist +2,338 P Siyanati Maashita, Mke wa Hazkili Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ṣiyaanati Maashṭa Mke wa Hazqil (Mu’min Aali Fir’aun) Taarifa za Jumla • Ukaribu wa Kifamilia: Mke wa Mu’min Aali Fir’aun • Kuzaliwa: Kipindi cha Utawala wa Farao (Firauna) • Mahali Alipoishi: Misri • Kifo: Aliuawa pamoja na watoto wake kwa amri ya Firauna kwa sababu ya imani yake kwa Mwenye Ezi Mungu Taarifa Nyingine • Asili: Msusi wa binti ya Farauna • Mhusika: Moja ya wanawake watakaofufuliwa baada ya kudhihiri kwa Imamu Mahdi (...' ya kisasa
- 16:5016:50, 16 Machi 2025 tofauti hist +11,780 P Sheikh Naim Qasim Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Naim Qasim Taarifa Binafsi • Kazi: Katibu Mkuu Msaidizi wa Hizbullah nchini Lebanon • Tarehe ya Kuzaliwa: 1953 • Mahali pa Kuzaliwa: Beirut, Lebanon • Nchi ya Ukaazi: Lebanon • Baba: Muhammad Qasim Taarifa za Kisiasa • Kiongozi Mkuu: Sayyid Hassan Nasrallah Taarifa za Kidini na Itikadi • Dini: Uislamu • Madhehebu: Shia • Mwelekeo wa Kifiqhi: Ja’fari Tovuti Rasmi https://naimkassem.com.lb/index.php Uraia: Lebanon Sheikh Naim Qasim: Shei...' ya kisasa
- 16:4916:49, 16 Machi 2025 tofauti hist +22,046 P Mhimili wa Muqawama Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mhimili wa Muqawama (Upinzani) au Jabhahatu Al-Muqawama: Mhimili wa Muqawama au Jabhahatu Al-Muqawama, ni jina maalumu linalotumiwa kurejelea muungano wa kikanda, unaojumuisha majeshi ya serikali na yasiyo ya kiserikali, hasa ya Kishia, ambayo yanahusika na shughuli mikakati ya kiupinzani dhidi ya ubeberu. Makundi haya ya kijeshi yanajumuisha nchi ya Iran, Syria (wakati wa utawala wa Hafidh na Bashar al-Assad), Iraq, Lebanon, Yemen, na Palestina. Malengo y...' ya kisasa
- 16:4816:48, 16 Machi 2025 tofauti hist +7,296 P Kumait bin Zaid al-Asadi Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Kumait bin Zaid Al-Asadi Taarifa Zake Jina Kamili Abū Mustajil Kumait bin Zayd Al-Asadi Harakati Zake Ushairi wa kuwasifu Ahlul Bait (a.s) Mahali alipoishi Iraq Mahali alipozikwa Kufa, Mava ya Bani Asadi Aliyeishi naye Imamu Sajjad (a.s), Imamu Baqir (a.s) na Imamu Sadiq (a.s) Madhehebu Shia Diwani ya Mashairi Mkusanyiko wa mashairi Sababu ya Umaarufu Mshairi wa kusifu Ahlul Bayt (a.s) Kumait bin Zaid al-Asadi (ali...' ya kisasa
- 16:4616:46, 16 Machi 2025 tofauti hist +1,445 P Israeli Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Israeli: ni lakabu ya Nabii 'Yakobo/Yaaquub.' Kulingana na tafsiri ya kitabu Majma‘u al-Bayan, neno 'Israeli' katika lugha ya Kiebrania humaanisha 'Mteule wa Mungu' au 'Mtumishi wa Mungu'. [1] Sheikh Tusi maana ya jina hili, anasema kwamba; 'Israeli' limeundwa kunatokana na maneno mawili; la kwanza ni 'Isra,' ambalo linamaanisha mtumishi, na la pili ni 'Il', linalomaanisha Mwenye Ezi Mungu, na hivyo 'Israeli' likawa na maana ya 'Mtumishi wa Mungu'. [2] K...' ya kisasa
- 16:4416:44, 16 Machi 2025 tofauti hist +19,538 P Hadithi ya "رفع القلم" (Rufu'a Al-Qalamu) Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Taarifa za Hadithi • Mada: Kuturekodiwa kwa madhambi ya Mashia katika siku ya tisa ya Rabiul Awwal. • Mapokezi: Imepokewa kutoka kwa Imamu Hadi (a.s), Imamu Jawad (a.s), na Mtume (s.a.w.w). • Msimulizii Mkuu: Yahya bin Muhammad bin Khurayj Al-Baghdadi. • Uhalali wa Sanad Yake: Haikubaliki. • Vyanzo vya Kishi'a: Al-Mukhtasar, Fawaid Al-Fawaid, na Bihar Al-Anwar. Hadithi Mashuhuri Hadithi ya "رفع القلم" (Rufu'a Al-Qalamu): Ni Hadithi...' ya kisasa
- 16:3916:39, 16 Machi 2025 tofauti hist +22,480 P Hadithi ya Khasifu an-Na'al Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Hadithi ya Khasifu an-Na'al “Kiarabu خَاصِفُالنَّعْل” (kwa maana ya Mkarabati Viatu): Ni Hadithi yenye maana pevu kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w), inayozungumzia nafasi na fadhila pekee za Imamu Ali (a.s). Kauli hii ilitamkwa na bwana Mtume (s.a.w.w) katika mazingira ambayo Imamu Ali (a.s) alikuwa katika hali ya kutiatia viraka au kukarabati viatu vya bwana Mtume (s.a.w.w). Hiyo ndiyo ikawa sababu hasa ya yeye kupewa jina la Khas...' ya kisasa
- 16:3716:37, 16 Machi 2025 tofauti hist +4,714 P Dua ya Arobaini na Moja ya Sahifa Sajjadiyya Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Nakala ya maandishi ya "Sahifa Sajjadiya", kwa mwandiko na hati za Sheikh Abdullah Yazdi, iliandikwa mnamo mwezi Shaaban mwaka 1104 Hijria Taarifa kuhusu Dua na Ziara • Mada: Kuomba stara kutokana na aibu ya dhambi na kuepukana nazo • Kutoka kwa Maasumu / Si kutoka kwa Maasumu: Kutoka kwa Maasumu • Imetoka kwa: Imam Sajjad (a.s) • Msimulizi: Mutawakkil bin Harun • Vyanzo vya Kishia: Sahifa Sajjadiya Maombi na Ziara Maarufu Dua ya Arobaini na...' ya kisasa
- 16:3516:35, 16 Machi 2025 tofauti hist +9,891 P Aya ya Harithu Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Maelezo ya Aya Kigezo Maelezo Jina la Aya Aya ya Harith Mahala ilipo Suratu Al-Baqara Nambari ya Aya 223 Juzuu 2 Taarifa za Kimaudhui Sababu ya Uteremsho Kukataa imani ya Kiyahudi kuhusu vizuizi vya mahusiano ya ndoa. Mahali ilipoteremshwa Madina Mada Fiqhi , Kimaadili Ujumbe wake Hakuna vizuizi katika mahusiano ya ndoa. Aya ya Harithi Aya ya Harithu: ni sehemu ya Aya ya 223 ilioko katika Suratu Al-Baqara. Kiuhalisia Aya ni Aya yenye kuzungumzia mahusia...' ya kisasa
- 16:3316:33, 16 Machi 2025 tofauti hist +4,795 P Muhaddatha Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Muhaddatha “المحدثة”: Ni mojawapo ya majina ya heshima yanayotumika katika kumtaja Bibi Fatima (s.a). Jina hili lina maana ya "Mwanamke Asemezwaye na Malaika." Pia jina hili limeonekana kunukiliwa katika masimulizi ya kidini katika kuwataja wanawake wengine, kama vile; Bibi Mariam (s.a) na Sara. Inasemekana kwamba; Malaika walikuwa wakimweleza Bibi Zahra (s.a) mambo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na; kumfarij, kumuarifu na kumjulisha hali za Waumin...' ya kisasa
- 16:2916:29, 16 Machi 2025 tofauti hist +5,186 P Tahniki kwa mtoto mchanga Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Tahniki kwa mtoto mchanga (Kiarabu تحنيك المولود): Ni mila maalumu ya Kiislamu inayotekelezwa kwa kuweka kiasi kidogo cha maji au chakula kwenye kinywa cha mtoto mchanga punde tu baada ya kuzaliwa kwake. Kwa mujibu wa mafundisho ya wanazuoni wa Kishia, tahniki inapaswa kufanywa kwa kutumia maji ya Mto Furati pamoja na udongo mtakatifu wa Imamu Hussein (a.s) (udungo wa Karbala), kwa mujibu wa maoni yao, kufanya hivyo ni miongoni mwa amali za sun...' ya kisasa
11 Fubuari 2025
- 20:0220:02, 11 Fubuari 2025 tofauti hist +6,350 P Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Ash'ath ibnu Qais Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Ash'ath ibnu Qais kutoka kwenye Nahj al-Balagha: Hii ni ile Barua ya Imam Ali (a.s) kwa Ash'ath ibn Qais, mwakilishi na kaimu mtendaji (gavana) wa Othman bin Affan huko Azerbaijan. Hii ni ile barua mashuhuri inayopatikana katika mkusanyiko wa semi hotuba na hekima za Imamu Ali (a.s) zilizoko kwenye kitabu kiitwacho Nahju Al-Balagha. Imamu Ali (a.s) katika barua yake hii, anamkumbusha Ash'ath juu ya matukio muhimu na hatari yaliy...'
- 20:0020:00, 11 Fubuari 2025 tofauti hist +4,810 P Barua ya Imam Ali kwa Sahl bin Hunaif Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imam Ali kwa Sahl bin Hunaif: Barua ya Imam Ali kwa Sahl bin Hunaif ni miongoni mwa barua zake mashuhuri kwa watu mbali mbali. Barua hii aliiandika ili kumliwaza Hunaif baada ya baadhi ya wafuasi wa Sahl bin Hunaif kumwacha mkono Imamu Ali (a.s) na kujiunga na Mu’awiya. [1] Hii barua ya Imam Ali (a.s) ya kwa ajili ya Sahl, aliyekuwa gavana wake katika mji wa Madina, alaiyoiandika akimhimiza Sahl kutohuzunika kutokana na kuondoka kwa baadhi ya w...'
- 19:5919:59, 11 Fubuari 2025 tofauti hist +14,087 P Barua ya Imamu Ali (a.s) kwa Shuraih Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imamu Ali (a.s) kwa Shuraih: Hii ni barua maalumu ya makemeo ya Imamu Ali (a.s) kwa Shuraih bin Harith, aliyekuwa qadhi wa wakati wa wakati huo mjini Kufa, ambaye ameshutumiwa kwa kununua nyumba kwa bei ghali. Katika barua hii, Imam Ali anamuwaidhi Shuraih na kumkumbusha thamani ya dunia na hisabati ya Siku ya Kiyama. Pia baurua yake hiyo ilitaraji kwamba; Shuraih, ambaye ni afisa wa serikali, ataelewa kuwa mtu kama yeye hatarajiwi kuwa na maisha...'
- 19:5619:56, 11 Fubuari 2025 tofauti hist +12,429 P Barua ya Imamu Hussein (a.s) kwa Wakuu wa Basra Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Barua ya Imamu Hussein (a.s) kwa Wkuu wa Basra: Ilikuwa ni barua maalumu ya wito, iliyoandikwa na Imam Hussein (a.s.) kwa wakuu wa makbila ya Waarabu wa Basra, kabla ya janga la mauaji ya Karbala. Imam (a.s) katika barua hii aliwafikishia Warabu wa Basra ujumbe wake muhimu akiewaeleza kwamba; Ukhalifa ni haki pekee inayowastahikia Ahlul-Bait (a.s). Katika barua hii alifafanua akiwaambia kwamba; kukaa kimya kwa familia hii tukufu dhidi ya unyakuzi wa Ukhali...'
- 19:5419:54, 11 Fubuari 2025 tofauti hist +3,457 P Siddiqatu Al-Shahida (Lakabu) Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Jina la "Siddiqatu Al-Shahida" ni ambatano la Majina mawili ya Bibi Fatima (a.s). Jina “Siddiqatu” linatoka katika msamiati wa Kiarabu wenye maana ya mwanamke mkweli mno kupita kiasi, [1] na jina “Shahida” lina maana ya mwanamke aliyekufa katika njia ya Mwenye Ezi ya Mungu. [2] Pia majina mawili haya ya "Siddiqa" na "Shahida" yanaonekana kuumika katika moja ya riwaya kutoka kwa Imamu Kadhim (a.s.), ambayo wanazuoni wamethibitisha usahihi wake, [3]...'
- 19:5319:53, 11 Fubuari 2025 tofauti hist +3,250 P Khasifun-Na'al (Lakabu) Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Khasifun-Na’al au Khasifu Al-Na’al (Mkarabati Viatu au Mfungafunga Viatu): Ni moja ya lakabu za Imam Ali (a.s), ambaye ni imamu wa kwanza wa Waislamu wa madhehebu ya Shia ulimwenguni. [1] Lakabu hii imetokana na Hadithi inazojulikana kwa jina la Hadithi ya Khasifun-Na’al, ambayo kwa mujibu wake; Mtume Muhammad (s.a.w.w) ndiye aliyemwita Imamu Ali (a.s) kwa jina hili, jina ambalo alipewa pale alikuwa akirekebisha na kufungafunga au kutia viraka viatu...'
19 Januri 2025
- 16:3116:31, 19 Januri 2025 tofauti hist +11,372 P Mapambano Kati ya Taluti na Jaluti Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mapambano Kati ya Taluti na Jaluti: Mapambano kati ya Taluti na Jaluti ni miongoni mwa visa vilivyomo ndani ya Qurani kuhusiana na mapambano kati ya Taluti, ambaye ni mmoja wa wafalme wa Wana wa Israeli, na Jaluti, aliyekuwa adui wa Wana wa Israeli. Kisa hichi kimesimuliwa katika Aya ya 246 hadi 251 za Suratu Al-Baqara. Kwa mujibu wa simulizi za Qurani, Wana wa Israeli walipoteza mwelekeo wa mafundisho ya Mungu na wakaangukia ndani ya uonevu wa Wapalestina...'
- 16:3016:30, 19 Januri 2025 tofauti hist −1,283 Miujiza No edit summary
- 16:2816:28, 19 Januri 2025 tofauti hist +29,824 P Miujiza Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Muujiza''' ni istilahi maalumu inayotumika katika fani na taaluma ya itikadi ('''''ilmu al-Kalamu'''''). Neno hili kiistilahi, humaanisha kupatikana au kutendeka kwa tendo fulani la ajabu lisichokuwa la kawaida, na linachoambatana na madai ya unabii, lenye nia ya kutoa changamoto kwa wengine, ambao hawawezi kutekeleza tendo kama hilo. Katika Qur'ani, kuna simulizi nyingi kuhusiana na miujiza ya Manabii mbalimbali, ambazo kwa mujibu wa wanazuoni Waislam...' Tag: KihaririOneshi
5 Januri 2025
- 15:0715:07, 5 Januri 2025 tofauti hist +2 Ukoloni No edit summary Tag: KihaririOneshi
- 14:4914:49, 5 Januri 2025 tofauti hist +17,132 P Ukoloni Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ukoloni''': Ukoloni ni hali ya ukaliwaji wa kimabavu wa taifa moja kupitia taifa jengine bila ya mamlaka halali, bali ni kwa njia ya kulazimisha na kulifanya taifa hilo, na hatimae kuwa ni taifa tegemezi, duni na lisiloendelea. Ukoloni wa Wazungu ulianza kwa kukalia kimabavu nchi za Waislamu kaskazini mwa Afrika, kisha kusambaa kwenye mataifa mengine, ikiwa ni pamoja na mataifa ya Kishia ikiwemo; Iran, Iraq, na India. Kwa mujibu wa maelezo ya watafiti m...' Tag: KihaririOneshi
1 Januri 2025
- 09:2109:21, 1 Januri 2025 tofauti hist +10,479 P Ndoa ya Misyar Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ndoa ya '''''Misyar''''' (Kiarabu: '''نِکاح مِسْیار'''): Ni aina ya ndoa kati ya Waislamu inayofanywa miongoni mwa wanajamii wa madhehebuya Sunni. Ndoa hii (kulingana na nao) ni ndoa yenye masharti kamili ya ndoa, ikiwemo; kusoma mkataba wa kisheria, uwepo wa mashahidi pamoja na malipo ya mahari. Lakini mwanamke katika ndoa hii -kwa hiari yake mwenyewe- huamua kuacha baadhi ya haki zake, ikiwemo haki ya matumizi ('''''nafaqah''''') na haki ya...' Tag: KihaririOneshi
- 09:2009:20, 1 Januri 2025 tofauti hist +12,197 P Tauthiq Aam Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Tauthiq Aam “Uthibitisho au '''Uungwaji mkono wa Kiujumla”''' (Kiarabu: '''توثیق عام'''): Ni istilahi maalumu katika taaluma ya Hadithi na fani ya ‘'''''ilmu al- rijal''''' (Elimu inayotafiti maisha na sifa za wapokezi wa Hadithi). Istilahi hii huwa na maana ya kutangaza uaminifu na uungwaji mkono wa kijulma kwa mpokezi fulani au jumla ya wapokezi fulani wa Hadithi. Kwa mfano, pale azungumzwapo mpokezi fulani wa Hadithi, huku kukiwa na udad...' Tag: KihaririOneshi
- 09:1709:17, 1 Januri 2025 tofauti hist +12,297 P Mauaji ya kukusudia Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mauaji ya kukusudia''': Ni tendo la makusudi la kuhitimisha uhai wa binadamu fulani bila idhini ya sheria, jambo ambalo limeorodheshwa miongoni mwa madhambi makubwa zaidi katika sheria za Kiislamu. Uhalifu huu wa kuua nafsi kinyume na sheria, ni miongoni mwa dhambi zinazoshutumiwa vikali na dini zote za mbinguni, pamoja na sheria za kibinadamu ulimwenguni humu. Kwa mujibu wa Aya za Qur'ani, damu ya binadamu inapaswa kuheshimiwa, na kitendo cha kumuua bi...' Tag: KihaririOneshi
- 09:1609:16, 1 Januri 2025 tofauti hist +10,250 P Kifo kwa Amerika Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Kauli mbiu ya ''"'''Kifo kwa Amerika'''"'' (Kifarsi: '''''Marg bar Amrika'''''), imekuwa ni nembo muhimu ya harakati za Kiislamu nchini Iran pamoja na baadhi ya nchi fulani duniani, hasa katika kupinga sera za serikali ya Marekani. Kauli mbiu hii, iliyozaliwa baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979, inaonekana kama ni alama ya kupinga ukoloni, ubeberu, na uingiliaji kati wa Marekani katika masuala ya mataifa mengine dunianai, hasa mataifa ya K...' Tag: KihaririOneshi
- 09:1309:13, 1 Januri 2025 tofauti hist +4,784 P Al-Nadhafatu Mina Al-Iman Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Al-Nadhafatu Mina Al-Iman''' "Usafi ni sehemu ya imani" (Kiarabu: '''النَّظَافَةُ مِنَ الْإِيمَانِ'''): Ni usemi maalumu unaoaminika kuwa ni Hadithi, Hadithi ambayo inahusishwa moja kwa moja na bwana Mtume (s.a.w.w). Hadihi inakusudia kusema kwamba; usafi ni ishara ya imani. Hadithi hii inapitikana katika kitabu kiitwacho "Tib al-Nabi (s.a.w.w)", kilichotungwa na '''''Abu al-Abbas al-Mustaghfiri''''' (aliyefariki mnamo mwaka 4...' Tag: KihaririOneshi
19 Disemba 2024
- 19:4919:49, 19 Disemba 2024 tofauti hist +9,810 P Hubbu al watan mina al iman Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hubbu Al-Watan Mina Al-Imaan Kiarabu حب الوطن من الایمان"''', yaani '''"Kupenda nchi ni sehemu ya imani.”''' Ni msemo maarufu unaohusishwa na maneno ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Hata hivyo, kwa mujibu wa watafiti mbali mbali kama Ayatullahi Makarim Shirazi, msemo huu haupatikani katika vyanzo asili vya Hadithi vya upande wa madhehebu yaShia, pia baadhi ya wanazuoni wameuhisabu msemo huu kuwa ni wa kutungwa na wala hauhusiani na kau...' Tag: KihaririOneshi
16 Disemba 2024
- 16:4016:40, 16 Disemba 2024 tofauti hist +12,513 P Niaba katika Hija Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Niaba katika Hija''': Ni dhana inayojulikana pia kwa jina la Hija ya niaba, nayo ni tendo la kutekeleza ibada ya Hija kwa niaba ya mtu mwingine. Kwa kufanikisha ibada hii kwa njia ahihi na kwa kufuata masharti yake maalumu ya kidini, wajibu wa amali ya Hija huondolewa kutoka kwa mtu anayefanyiwa ibada hiyo kwa njia ya niaba. Katika muktadha wa amali ya Hija ya farḍhi (siyo umra), yaruhusiawa mtu fulani kutekeleza Hija ya mtu mwengina kwa niaba yake,...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3916:39, 16 Disemba 2024 tofauti hist +5,973 P Dhana ya Kuharakisha Faraja Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Dhana ya Kuharakisha Faraja (تَعجیل الفَرَج): Ni dhana yenye lengo la kutatua changamoto na kusubiri tukio la kudhihiri kwa Imamu Mahdi (a.f).''' Dhana hii ya ''Ta'ajil al-Faraj'' '''(تَعجیل الفَرَج)''' -yenye maana ya kuharakisha faraja- kiuhalisia katika teolojia ya Kiimamu (madhehebu ya Shia Ithna Asharia), huwa inahusishwa na dhana ya kusubiri tukio la kudhihiri kwa Imamu Mahdi (a.f). [1] Kwa mujibu wa maelezo ya mwanazuoni...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3816:38, 16 Disemba 2024 tofauti hist +4,503 P Kuzungumza kwa Nabii Isa (a.s) Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuzungumza kwa Nabii Isa akiwa katika maisha ya utotoni''': Suala la Nabii Isa kutamka na kuzungumza hali akiwa ni mtoto mchanga, ni moja ya mambo ya ajabu yanayokaribiana na hali ya miujiza. Tukio la Nabii wa Mwenyezi Mungu Isa (a.s) kuzungumza na watu hali akiwa ni mtoto mchanga, lilitendeka kwa ajili ya kumtetea mama yake (Bibi Maryam) (a.s) kutokana na tuhuma za uasherati. Katika tukio hli Nabii Isa (a.s) alionekena kumtetea mama yake, jambo lilifan...' Tag: KihaririOneshi
7 Disemba 2024
- 16:4216:42, 7 Disemba 2024 tofauti hist +7,682 P Sudair al-Sairafi Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sudair al-Sairafi: (Msimulizi Mashuhuri wa Kishia)''': Sudair al-Sairafi anajulikana kama ni mmoja wa wasimulizi maarufu wa Hadithi wa Kishia na ni miongoni mwa masahaba wa karibu wa Imamu al-Baqir na Imamu al-Sadiq (a.s). Familia yake pia ilikuwa na mchango mkubwa katika nyanja ya usimulizi wa Hadithi, kwani baba na watoto wake walikuwa ni miongoni mwa wasimulizi mashuhuri wa Hadithi na ni miongoni mwa Mashia. Takriban kuna kiasi cha Hadithi tisini zin...' Tag: KihaririOneshi
- 16:4016:40, 7 Disemba 2024 tofauti hist +10,579 P Mdhaifu wa kifikra Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mdhaifu wa kifikra “Mustadh'af Fikriyyun / مُستَضعَف فکری"''': Ni yule mtu mwenye uwezo dhaufu wa kifikra ambaye hana uwezo wa kiakili wa kutambua au kutofautisha kati ya haki na batili au hakupata fursa na wala hakuwa na uwezo wa kufikiwa na ujumbe wa dini ya Kiislamu. Hata hivyo, '''“Mustadh'af Fikriyyun / مُستَضعَف فکری"''' anayekusudiwa katika ibara hii, ni yule mtu ambaye kama Uislamu ungelimfikia basi asingekewa na pi...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3916:39, 7 Disemba 2024 tofauti hist +2,782 P Ruhullahi (Lakabu) Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Lakabu ya Ruhullahi Kiarabu''' “'''''روح الله'''''” ( '''Roho ya Mungu'''): Katika mila za Kiislamu na Kishia ''"Roho ya Mungu"'' ('''''روح الله'''''), ni jina litumikalo kama lakabuni moja maalumu kuhusiana na Nabii Isa (a.s). Lakabu hii imetajwa wazi katika Hadithi mbali mbali, pia inapatikana katika vitabu kadhaa vinavyozungumzia ziara (sala na salamu) zisomwazo kwa ajili ya watukufu fulani. [1] Miongoni mwa ibara zilizobeba j...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3816:38, 7 Disemba 2024 tofauti hist +10,033 P Kuvuka bahari kwa Wana wa Israeli Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuvuka bahari kwa Wana wa Israeli''': Tukio la kuvuka bahari kwa Wana wa Israeli lilikuwa ni miongoni mwa matukio muhimu na ni muujiza wa kipekee uliowakomboa kutoka katika mateso yaliyokuwa yakiwasulubu walipokuwa nchini Misri. Tukio hili lilijumuisha kupasuka kwa bahari na kuruhusu Wana wa Israeli kuvuka salama, huku Firauna na majeshi yake wakizama katika maji bila ya kupata mwokozi. Kwa mujibu wa amri ya Mwenye Ezi Mungu, Nabii Musa (a.s) aliwaongo...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3716:37, 7 Disemba 2024 tofauti hist +13,604 P Maisha ya amani ya pamoja Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Maisha ya amani ya pamoja''': ni dhana inayobeba umuhimu wa kuishi kwa maelewano na mshikamano miongoni mwa watu wa imani, itikadi, na tamaduni tofauti. Dhana hii katika Uislamu, inahisabiwa kuwa ni moja ya msingi bora ya jamii na ndio lengo la juu kabisa la maisha ya kijamii. Dini ya Kiislamu inahimiza kuheshimu haki za walio wachache kidini, pia inawataka Waislamu kushirikiana nao kwa misingi ya heshima na uadilifu. Mafundisho ya Kiislamu yanasisitiza...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3316:33, 7 Disemba 2024 tofauti hist +8,549 P Ujirani mwema Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''ujirani mwema, unaojulikana kama''' "'''''حسن الجوار'''''": ni ndharia ilioko katika maandiko ya kiislamu, inayosisitiza tabia njema kwa majirani. aya ya 36 ya '''suratu an-nisa''', inatutaka tuwatendee wema majirani zetu. Pia tukirejea kwenye hadithi mbali mbali, tutakuta maelezo kadhaa yenye kusisitiza juu ya kuwatendea wema majirani na kutowafanyia ubaya majirani zetu. hadithi ambazo zinatutaka kuchunga heshima za jirani ni kama vile tuchu...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3116:31, 7 Disemba 2024 tofauti hist +9,363 P Asma bin Khaarjah al-Fazari Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Asma bin Khaarjah al-Fazari''' (aliyefariki mwaka wa 82 Hijria) alikuwa kiongozi mashuhuri na aliyekuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa katika mji wa Kufa, hasa katika kipindi cha matukio yaliyopelekea maafa ya tukio la Karbala. Asma alishiriki katika vita vya Siffin akiwa katika jeshi la Imam Ali (a.s). Hata hivyo, baada ya vita hivyo, alihamia Kufa na kuwa karibu na watawala wa Bani Umayya, akihudumu mara kwa mara katika mji mkuu wa utawala wao. Asma p...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3116:31, 7 Disemba 2024 tofauti hist +3,083 P Aqilah Banī Hāshim (Lakabu) Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Aqilah Banī Hāshim''': Jina la '''Aqilah Banī Hāshim''', ni jina maalumu alilopewa Bibi Zainab (a.s.), ambaye ni binti wa Imam Ali (a.s). Kwa mujibu wa kamusi kuu ya Kiarabu iitwayo Lisān al-‘Arab, ni kwamba; Pale jina au neno "‘'''''Aqilah'''''," linapohusishwa na mmoja wa watu wa kabila au kundi fulani, huwa na maana ya '''mkuu wa kabila'''. [1] Baadhi ya wanazuoni, akiwemo Ayatollahi Jawadi Amuli, wamesema kuwa; pale jina hili linapotumika...' Tag: KihaririOneshi
- 16:3016:30, 7 Disemba 2024 tofauti hist +5,758 P Annasu Niamun Faidhaa Matuu Intabahuu Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Annasu Niamun Faidhaa Matuu Intabahuu / النَّاسُ نِیَامٌ فَإِذَا مَاتُوا انْتَبَهُوا "Watu wamelala, na watapokufa ndipo watakapoamka":''' Ni hadithi maarufu [1] inayosimuliwa kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) [2] pamoja na Imam Ali (a.s.), [3] ikiwa ni moja ya kauli zenye maana kubwa zinazogusa undani wa maisha ya mwanadamu. Hadithi hii inatoa ukumbusho juu ya hali hailisi ya uhakika wa wanadamu, ikieleza kwam...' Tag: KihaririOneshi
20 Novemba 2024
- 14:1114:11, 20 Novemba 2024 tofauti hist +10,459 P Tawhidi Katika Ngazi ya Dhati Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tawhidi Katika Ngazi ya Dhati:''' ni mojawapo ya aina za tawhidi, inayomaanisha iamni juu ya umoja asili, au uweke wa Mwenye Ezi Mungu katika ngazi ya Dhati yake. '''Tawhidi Katika Ngazi ya Dhati''' katika istilahi za wanazuoni wa fani ya theolojia, humaanisha kwamba; Mwenye Ezi Mungu hana mshirika wala anayefanana naye; lakini kwa mujibu wa wanazuoni wengine, pia inamaanisha kuwa Dhati ya Mungu haikujengeka kwa vipengele vya aina yoyote ile, wala haiwe...' Tag: KihaririOneshi
- 14:0714:07, 20 Novemba 2024 tofauti hist +17,098 P Tawhidi katika ngazi ya Matendo Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tawhidi katika ngazi ya Matendo''' (Kiarabu: '''توحید اَفعالی'''): Ni imani muhimu yenye maana ya kwamba; kila tukio litokealo ulimwenguni humu, yakiwemo matendo ya viumbe mbali mbali, hutekelezwa na kujiri kupitia idhini, nguvu pamoja na matakwa ya Mwenye Ezi Mungu mwenyewe. Dhana hii inaonesha kuwa Mwenye Ezi Mungu ni chanzo cha kila kitu. Wanazuoni wa Kiislamu wameshimamisha hoja mbali mbali katika kuthibitisha imani hii. Ili kutetea iman...' Tag: KihaririOneshi
- 14:0514:05, 20 Novemba 2024 tofauti hist +38,488 P Hotuba ya Gharaa Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hotuba ya Gharaa''' (Kiarabu/ خطبۀ غَرّاء): Ni moja ya hotuba maarufu ndani ya kitabu cha '''''Nahj al-Balagha'''.'' [1] Hotuba hii inajulikana kwa jina la Hotuba ya Gharaa (yaani hotuba yenye nuru na kung'aa) kutokana na ufasaha na wa hali ya juu uliotumika ndani yake. [2] Ibn Abi Al-Hadid anaiona hotuba hii kuwa ni moja ya karama za Imamu Ali (a.s). [3] Katika hotuba hii yenye maneno mepesi ndani yake, kumetumika mbinu kadhaa za kifasaha na...' Tag: KihaririOneshi
- 14:0314:03, 20 Novemba 2024 tofauti hist +12,459 P Uzuri na Ubaya Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Uzuri na Ubaya “Kiarabu''': '''حُسن و قُبح'''”: Ni Suala linalohusiana na masuala ya elimu ya theolojia. Muqtadha wake hujadili kuwa je kiasilia, matendo kama matendo huwa yanasifika kwa sifa ya uzuri au ubaya, au uzuri na ubaya wake hutegemea amri za Mungu tu? Yani, chochote kile ambacho Mungu ameagiza huhisabiwa kuwa ni kizuri kutokana na hilo, na chochote alichokataza huhisabiwa kuwa ni kibaya kutokana na katazo hilo la MUngu. Wanazuoni...' Tag: KihaririOneshi
- 14:0214:02, 20 Novemba 2024 tofauti hist +12,290 P Hukumu ya Jihadi Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hukumu ya Jihadi au Fatwa ya Jihadi''': Ni amri ya kiongozi wa juu wa dini inayohusiana na kuanzisha vita vya Jihadii dhidi ya maadui. Kigezo cha kikuu cha hukumu hii kinakuwa ni kuilinda dini pamoja na jamii ya Kiislamu. Hukumu hii pia huainisha vigezo na masharti yanayotakiwa kutimizwa, ili kupata uhalali kamili wa vita hivyo. Kwa mtazamo wa Shia kuhusiana na muktadha huu, kule kutoa fatwa ya Jihadi katika kipindi cha '''''ghaiba''''' (kipindi cha kut...' Tag: KihaririOneshi