wikishia:Featured articles/2025
Mandhari

Sayyid Hassan Nasrullah (Kiarabu:السيد حسن نصر الله) (1960 - 2024): alikuwa ni Katibu Mkuu wa tatu wa Hizbullah, chama cha kisiasa na kijeshi cha Lebanon ambacho kiliasisiwa mano mwaka 1982. Chini ya uongozi wake, Hizbullah iliimarika na kuwa ni nguvu muhimu ya kikanda iliyofanikiwa kuilazimisha Israel kuondoka kusini mwa Lebanon mwaka 2000, baada ya operesheni za kijeshi zilizojumuisha kurudisha huru wafungwa wa Kilebanoni. Sayyid Hassan Nasrallah aliaga dunia kwa kuuawa shahidi mnamo tarehe 28/9/2024 Miladia kupitia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na vikosi vya Israel.
Makala mengine yaliyoangaziwa: Abdullah ibn Saba – Husseini Minni Wa Anna Min Hussein – Muujiza wa kisayansi wa Qur’an