Mwaka wa kwanza Hijria

Kutoka wikishia

Mwaka wa kwanza Hijiria ni mwaka wa kwanza katika kuhesabu miaka kwa mujibu wa kalenda ya Kiislamu ya Hijiria. Mwaka huu unasadifiana na mwaka wa 14 baada ya kubaathiwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) (kupewa Utume) [1] na mwaka wa 53 baada ya mwaka wa tembo.

Tukio la hijra (kuhama) na kugura Mtume (s.a.w.w) na kundi miongoni mwa Waislamu kutoka Makka na kwenda Madina lilitokea katika mwaka huu. Kadhalika Masjid Quba na Masjid al-Nabi iliasisiwa katika mwaka huu huu.

Matukio

Mazazi na vifo