Mwaka wa Pili Hijria

Kutoka wikishia

Mwaka wa pili Hijiria (Kiarabu: سنة الثانیة للهجرة) ni mwaka wa pili katika kuhesabu miaka kwa mujibu wa kalenda ya Kiislamu ya Hijiria. Siku ya kwanza ya mwaka huu ilianza tarehe Mosi Muharram iliyosadifiana na Jumanne 16 Tir mwaka wa Pili Hijiria Shamsia ambayo ni sawa na tarehe 8 Julai 623 Miladia, na Siku yake ya mwisho yaani tarehe 30 Dhul-Hijja ilisadifiana na Jumamosi tarehe 5 Tir mwakak wa tatu Hijria Shamsia iliyokuwa mwafaka na tarehe 26 Juni mwaka 624 Miladia. [1]

Ushindi wa Waislamu katika vita vya Badr, kubadilishwa kibla cha Waislamu kutoka Masjid al-Aqswa na kuwa Kaaba na kufunga ndoa Imamu Ali (a.s) na Bibi Fatima Zahra (a.s) ni miongoni mwa matukio ya mwaka huu (pili Hijiria).

Matukio

Matukio ya Kivita

Mazazi na Vifo