Nenda kwa yaliyomo

Ubora wa Imamu : Tofauti kati ya masahihisho

No edit summary
Mstari 7: Mstari 7:
== Welewa wa dhana na upeo wape ==
== Welewa wa dhana na upeo wape ==


Kwa maoni ya wanatheolojia wa madhehebu ya Shia Imamiyah, ubora wa Imamu unamaanisha na kulenga zaidi kwenye ubora wake juu ya wengine katika sifa maalumu kama vile; elimu, uadilifu, ujasiri na uchamungu, sifa hizi ndizo zinazo zaingatiwa kuwa ndio masharti ya Uimama. [1] Katika baadhi ya vyanzo vya kitheolojia, ubora huu unamaanisha pia ubora katika ibada na ubora katika jitihada za kutafuta thawabu na kujikirubisha kwa Mwenye Ezi Mungu. [2] Kwa hivyo, wanatheolojia wa madhehebu ya Shia Imamiyah wanaamini kwamba; Imam ni bora kuliko watu wengine katika sifa zote za kiroho na kimwili kama vile elimu, dini, uchamungu, ukarimu, ujasiri, [3] na ubora katika kutafuta thawabu na mafanikio ya siku ya mwisho (mafanikio ya Akhera). [4] Manatheolojia hao wanaamini kwamba; ni Imamu lazima awe ni mtu mwenye elimu zaidi, mwenye ujasiri zaidi, mwenye ukarimu zaidi, mwenye subira zaidi, mwenye uchamungu zaidi, na kadhalika, kuliko watu wote manaoishi katika zama zake, [5] ili awe ni kigezo kwa watu na awe ni mwenye kustahiki kufuatwa na wengine. [6]
Kwa maoni ya wanatheolojia wa madhehebu ya Shia Imamiyah, ubora wa Imamu unamaanisha na kulenga zaidi kwenye ubora wake juu ya wengine katika sifa maalumu kama vile; [[elimu]], [[uadilifu]], ujasiri na [[uchamungu]], sifa hizi ndizo zinazo zaingatiwa kuwa ndio masharti ya [[Uimamu]]. [1] Katika baadhi ya vyanzo vya kitheolojia, ubora huu unamaanisha pia ubora katika [[ibada]] na ubora katika jitihada za kutafuta [[thawabu]] na kujikirubisha kwa Mwenye Ezi Mungu. [2] Kwa hivyo, wanatheolojia wa madhehebu ya Shia Imamiyah wanaamini kwamba; [[Imamu]] ni bora kuliko watu wengine katika sifa zote za kiroho na kimwili kama vile elimu, [[dini]], uchamungu, [[ukarimu]], [[ujasiri]], [3] na ubora katika kutafuta thawabu na mafanikio ya siku ya mwisho (mafanikio ya Akhera). [4] Manatheolojia hao wanaamini kwamba; ni Imamu lazima awe ni mtu mwenye elimu zaidi, mwenye ujasiri zaidi, mwenye ukarimu zaidi, mwenye subira zaidi, mwenye uchamungu zaidi, na kadhalika, kuliko watu wote manaoishi katika zama zake, [5] ili awe ni kigezo kwa watu na awe ni mwenye kustahiki kufuatwa na wengine. [6]
Imeelezwa ya kuwa; si lazima Imamu awe bora kuliko wengine katika mambo ya kidunia kama vile mali, hadhi na nguvu; kwa sababu lengo ni kumfuata Imam kwa dhati na kumuamini kwa dhati, sio kufuata na kiju juu tu. [7]
 
Kwa mtazamo wa Shia, Imamu lazima awe bora zaidi kuliko wengine
Imeelezwa ya kuwa; si lazima Imamu awe bora kuliko wengine katika mambo ya kidunia kama vile mali, hadhi na nguvu; kwa sababu lengo ni kumfuata Imamu kwa dhati na [[kumuamini]] kwa dhati, sio kufuata na kiju juu tu. [7]
 
== Kwa mtazamo wa Shia, Imamu lazima awe bora zaidi kuliko wengine ==
 
Wanatheolojia wa Shia Imamia wanaamini kwamba ubora ni mojawapo ya masharti ya Uimamu [8] nao wanakubaliana na wanawafikiana kinadharia juu ya hili. [9] Ili kuthibitisha ubora wa Imamu, hoja za kimantiki na vielelezo vya maandiko vimewasilishwa ili kudhatiti dhana hiyo.
Wanatheolojia wa Shia Imamia wanaamini kwamba ubora ni mojawapo ya masharti ya Uimamu [8] nao wanakubaliana na wanawafikiana kinadharia juu ya hili. [9] Ili kuthibitisha ubora wa Imamu, hoja za kimantiki na vielelezo vya maandiko vimewasilishwa ili kudhatiti dhana hiyo.
Hoja za kimantiki
Hoja za kimantiki
Automoderated users, confirmed, movedable
5,705

edits