Nenda kwa yaliyomo

Imamu Hadi (a.s) : Tofauti kati ya masahihisho

Mstari 22: Mstari 22:
== Wasifu wa Maisha Yake ==
== Wasifu wa Maisha Yake ==


Kulingana na maoni ya Kulayni,[12] Sheikh Tusi, [13] Sheikh Mufid, [14] na Ibnu Shahriashub [15] ni kwamba; Imamu Hadi alizaliwa tarehe 15 Dhul-Hijjah mwaka 212 Hijria katika eneo la Sariya (karibu na Madina). Hata hivyo, pia miongoni mwa rikodi kuhusiana na tarehe ya kuzaliwa kwake ni tarehe 2 au 5 Rajabu ya mwaka huo huo wa 214 Hijria, na pia wenge wamesema kuwa ni Jumada al-Thani mwaka 215 Hijria.
Kulingana na maoni ya [[Kulayni]],[12] [[Sheikh Tusi]], [13] [[Sheikh Mufidu|Sheikh Mufid]], [14] na [[Ibnu Shahriashub]] [15] ni kwamba; Imamu Hadi alizaliwa tarehe [[15 Dhul-Hijjah]] mwaka [[212 Hijria]] katika eneo la [[Sariya]] (karibu na [[Madina]]). Hata hivyo, pia miongoni mwa rikodi kuhusiana na tarehe ya kuzaliwa kwake ni tarehe 2 au 5 [[Rajabu]] ya mwaka huo huo wa 214 Hijiria, na pia wenge wamesema kuwa ni [[Jumada al-Thani]] mwaka 215 Hijria. Kwa mujibu wa maelezo ya Mas'udi, mwanahistoria wa karne ya nne, ni kwamba; katika mwaka ambao Imamu Jawad pamoja na mkewe ([[Ummul-Fadhli]]) walikwenda kufanya ibada ya Hija, Imamu Hadi akiwa bado mdogo pale walipokuja naye mjini Madina. [18] Naye akaishi katika mji huo wa Madina hadi mwaka 233 Hijiria. Ya'qubi, mwanahistoria wa karne ya tatu ya Kiislamu, aliandika kuwa katika mwaka huo, [[Mutawakkil Abbasi]] alimpa wito Imamu Hadi na kumtaka kwenda Samarra. [19] Alipofika Samarra alimpa makazi katika eneo lililoitwa Askar na nayeb alikaa huko hadi mwisho wa maisha yake. [20]
Kwa mujibu wa maelezo ya Mas'udi, mwanahistoria wa karne ya nne, ni kwamba; katika mwaka ambao Imamu Jawad pamoja na mkewe (Um al-Fadhli) walikwenda kufanya ibada ya Hija, Imamu Hadi akiwa bado mdogo pale walipokuja naye mjini Madina. [18] Naye akaishi katika mji huo wa Madina hadi mwaka 233 Hijria. Ya'qubi, mwanahistoria wa karne ya tatu ya Kiislamu, aliandika kuwa katika mwaka huo, al-Mutawakkil alimpa wito Imamu Hadi na kumtaka kwenda Samarra. [19] Alipofika Samarra alimpa makazi katika eneo lililoitwa Askar na nayeb alikaa huko hadi mwisho wa maisha yake. [20]


Hakuna habari nyingi zinazopatikana kuhusu maisha ya Imamu Hadi, Imamu Javad, na Imamu Askari, ikilinganishwa na Maimamu wengine wa Shia. Muhammad Hussein Rajabi Duwani, mwanahistoria (aliyezaliwa 1339 Hijiria), ameelezea sababu ya suala hili kuwa ni umri mfupi wa Maimamu hao, kuweko kwao kifungoni na kuto kuwepo kwa waandishi wa historia wa Kishia katika wakati huo. [21]
Hakuna habari nyingi zinazopatikana kuhusu maisha ya Imamu Hadi, Imamu Jawad, na Imamu Askari, ikilinganishwa na [[Maimamu wa Kishia|Maimamu wengine wa Shia]]. Muhammad Hussein Rajabi Duwani, mwanahistoria (aliyezaliwa 1339 Hijiria), ameelezea sababu ya suala hili kuwa ni umri mfupi wa [[Maimamu wa Kishia|Maimamu]] hao, kuweko kwao kifungoni na kuto kuwepo kwa waandishi wa historia wa Kishia katika wakati huo. [21]


== Kisa cha Junaidiy Kuingia Katika Ushia ==
== Kisa cha Junaidiy Kuingia Katika Ushia ==
Automoderated users, confirmed, movedable
7,127

edits