Nenda kwa yaliyomo

Imamu Hadi (a.s) : Tofauti kati ya masahihisho

Mstari 37: Mstari 37:
=== Haramu ya Askariyyaini ===
=== Haramu ya Askariyyaini ===


:' Makala Asili:  [[Haram za Maimamu wawili Hadi na Askary (a.s)|Haram ya Askariyyein]]'
:''Makala Asili:  [[Haram za Maimamu wawili Hadi na Askary (a.s)|Haram ya Askariyyein]]''


Imamu Hadi (a.s) alizikwa nyumbani kwake huko Samarra. [34] Mahali alipozikwa Imamu Hadi (a.s) na mwanawe, (Imamu Hassan Askari) (a.s), hujulikana kama Haram ya Askariaini huko Samarra. Baada ya maziko ya Imamu Hadi (a.s) yaliofanyika nyumbani kwake, Imamu Askari (a.s) alimteua mtumishi maalumu wa kuhudumia kaburi lake. Katika mwaka wa 328 Hijiria, kuba la kwanza lilijengwa juu ya makaburi yao. [35] Haram ya Askariain imekarabatiwa, kukamilishwa, na kufanyiwa marekebisho katika nyakati tofauti. [36] Kila mwaka, Waislamu wa Kishia kutoka maeneo mbalimbali hufanya ziara ya kwenda kutembelea makaburi ya Imamu Hadi na Imamu Hassan Askari (a.s) huko Samarra.
Imamu Hadi (a.s) alizikwa nyumbani kwake huko Samarra. [34] Mahali alipozikwa Imamu Hadi (a.s) na mwanawe, (Imamu Hassan Askari) (a.s), hujulikana kama Haram ya Askariaini huko Samarra. Baada ya maziko ya Imamu Hadi (a.s) yaliofanyika nyumbani kwake, Imamu Askari (a.s) alimteua mtumishi maalumu wa kuhudumia kaburi lake. Katika mwaka wa 328 Hijiria, kuba la kwanza lilijengwa juu ya makaburi yao. [35] Haram ya Askariain imekarabatiwa, kukamilishwa, na kufanyiwa marekebisho katika nyakati tofauti. [36] Kila mwaka, Waislamu wa Kishia kutoka maeneo mbalimbali hufanya ziara ya kwenda kutembelea makaburi ya Imamu Hadi na Imamu Hassan Askari (a.s) huko Samarra.
Automoderated users, confirmed, movedable
7,127

edits