Nenda kwa yaliyomo

Imamu Hadi (a.s) : Tofauti kati ya masahihisho

No edit summary
Mstari 24: Mstari 24:
Kulingana na ripoti iliyosimuliwa katika kitabu cha "Ithbatu al-Wasiyyah," baada ya kifo cha kishujaa cha Imamu Jawad, serikali ya Banu Abbasi ilituma mtu mmoja anayeitwa Abu Abdullah Junaidiy, ambaye alikuwa mwenye chuki kubwa na familia ya bwana Mtume (s.a.w.w) ambaye alikuwa adui yao mkubwa, serikali hiyo ilimpa yeye la kumfundisha Imamu Hadi na kumchunguza nyenendo zake, na kuzuia wafuasi wa Shia kuwasiliana naye. Hata hivyo, baada ya muda fulani, mtu huyu alikuja kupozwa na kutahayari chini ya elimu pamoja na utu wa Imamu, na hatomae akageuka na akawa ni miongoni mwa Mwislamu wa madhehebu ya Shia. [22]
Kulingana na ripoti iliyosimuliwa katika kitabu cha "Ithbatu al-Wasiyyah," baada ya kifo cha kishujaa cha Imamu Jawad, serikali ya Banu Abbasi ilituma mtu mmoja anayeitwa Abu Abdullah Junaidiy, ambaye alikuwa mwenye chuki kubwa na familia ya bwana Mtume (s.a.w.w) ambaye alikuwa adui yao mkubwa, serikali hiyo ilimpa yeye la kumfundisha Imamu Hadi na kumchunguza nyenendo zake, na kuzuia wafuasi wa Shia kuwasiliana naye. Hata hivyo, baada ya muda fulani, mtu huyu alikuja kupozwa na kutahayari chini ya elimu pamoja na utu wa Imamu, na hatomae akageuka na akawa ni miongoni mwa Mwislamu wa madhehebu ya Shia. [22]


'''Watoto Wake'''
=== Watoto Wake ===


Katika vyanzo vya Shia, inasemekana kwamba Imamu Hadi alikuwa na watoto wanne wa kiume wanaoitwa Hassan, Muhammad, Hussein, na Ja'afar. [23] Pia imeelezwa ya kuwa pia yeye alikuwa na binti ambaye Sheikh Mufid alimtaja kwa jina la Aisha [24] na Ibn Shahrashub amemtambua kwa jina la ‘Illiyyah (Au Aliyyah). Katika kitabu cha "Dalail al-Imamah," inatajwa kuwa yeye alikuwa na mabinti wawili wanaoitwa Aisha na Dalalah. [26] Ibn Hajar al-Haythami, mmoja wa wanazuoni wa Sunni, pia katika kitabu chake "Al-Sawa'iqu al-Muhriqah" ameeleza kuwa Imamu wa Kumi wa Shia alikuwa na watoto wanne wa kiume na binti mmoja. [27]
Katika vyanzo vya Shia, inasemekana kwamba Imamu Hadi alikuwa na watoto wanne wa kiume wanaoitwa Hassan, Muhammad, Hussein, na Ja'afar. [23] Pia imeelezwa ya kuwa pia yeye alikuwa na binti ambaye Sheikh Mufid alimtaja kwa jina la Aisha [24] na Ibn Shahrashub amemtambua kwa jina la ‘Illiyyah (Au Aliyyah). Katika kitabu cha "Dalail al-Imamah," inatajwa kuwa yeye alikuwa na mabinti wawili wanaoitwa Aisha na Dalalah. [26] Ibn Hajar al-Haythami, mmoja wa wanazuoni wa Sunni, pia katika kitabu chake "Al-Sawa'iqu al-Muhriqah" ameeleza kuwa Imamu wa Kumi wa Shia alikuwa na watoto wanne wa kiume na binti mmoja. [27]


'''Kifo Chake cha Kishujaa na Kaburi Lake'''
=== Kifo Chake cha Kishujaa na Kaburi Lake ===


Kulingana na ripoti ya Sheikh Mufid (aliyefariki mwaka 413 Hijria) ni kwamba; Imamu Hadi alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 41 katika mwezi wa Rajabu mwaka wa 254 Hijria baada ya kuishi Samarra kwa miaka 20 na miezi 9. [28] Pia, katika kitabu cha "Dalailu al-Imamah" na "Kashfu al-Ghummah," imetajwa kuwa Imamu wa Kumi aliuawa kwa sumu wakati wa utawala wa al-Mu'tazzu Abbasi (aliye tawala kuanzia mwaka 252 hadi 255 Hijria), na hiyo ikawa ndio sababu ya kifo chake cha kishujaa (kishahidi). [29] Ibnu Shahrashub (aliye fariki mwaka 588 Hijria) anaamini kuwa Imamu Hadi aliuawa shahidi mnamo mwisho wa utawala wa al-Mu'tamid (aliye tawala mwaka 256 hadi 278 Hijria), naye akinukuu kutoka kwa Ibn Babawayh amesema kwamba; Mu'tamid alimuuwa Imamu Hadi kupitia sumu. [30]
Kulingana na ripoti ya Sheikh Mufid (aliyefariki mwaka 413 Hijria) ni kwamba; Imamu Hadi alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 41 katika mwezi wa Rajabu mwaka wa 254 Hijria baada ya kuishi Samarra kwa miaka 20 na miezi 9. [28] Pia, katika kitabu cha "Dalailu al-Imamah" na "Kashfu al-Ghummah," imetajwa kuwa Imamu wa Kumi aliuawa kwa sumu wakati wa utawala wa al-Mu'tazzu Abbasi (aliye tawala kuanzia mwaka 252 hadi 255 Hijria), na hiyo ikawa ndio sababu ya kifo chake cha kishujaa (kishahidi). [29] Ibnu Shahrashub (aliye fariki mwaka 588 Hijria) anaamini kuwa Imamu Hadi aliuawa shahidi mnamo mwisho wa utawala wa al-Mu'tamid (aliye tawala mwaka 256 hadi 278 Hijria), naye akinukuu kutoka kwa Ibn Babawayh amesema kwamba; Mu'tamid alimuuwa Imamu Hadi kupitia sumu. [30]
Mstari 35: Mstari 35:
Kulingana na ripoti ya al-Mas'udi, mwanahistoria wa karne ya nne Hijiria, ni kwamba; Imam Hassan Askari alishiriki katika mazishi ya kumzika baba yake. Maiti ilihamishwa kupitia karibu na nyumba ya Musa ibn Bugha, na haraka kabisa kabla ya Khalifa wa Banu Abbasi kushiriki katika mazishi hayo, Imam Askari alimsalia baba yake sala ya maiti. Al-Mas'udi ameiripoti msongamano mkubwa wa watu kwenye mazishi ya Imam Hadi (a.s). [33]
Kulingana na ripoti ya al-Mas'udi, mwanahistoria wa karne ya nne Hijiria, ni kwamba; Imam Hassan Askari alishiriki katika mazishi ya kumzika baba yake. Maiti ilihamishwa kupitia karibu na nyumba ya Musa ibn Bugha, na haraka kabisa kabla ya Khalifa wa Banu Abbasi kushiriki katika mazishi hayo, Imam Askari alimsalia baba yake sala ya maiti. Al-Mas'udi ameiripoti msongamano mkubwa wa watu kwenye mazishi ya Imam Hadi (a.s). [33]


'''Haramu ya Askariyyaini'''
=== Haramu ya Askariyyaini ===


:' Makala Asili:  [[Haram za Maimamu wawili Hadi na Askary (a.s)|Haram ya Askariyyein]]'
:' Makala Asili:  [[Haram za Maimamu wawili Hadi na Askary (a.s)|Haram ya Askariyyein]]'
Automoderated users, confirmed, movedable
7,127

edits