Kumbukumbu zote zilizo wazi

Hapa panaonyeshwa kumbukumbu zote za wikishia kwa pamoja. Unaweza kuona baadhi yao tu kwa kuchagua aina fulani ya kumbukumbu, jina la mtumiaji fulani (zingatia herufi kubwa na ndogo), au jina la ukurasa fulani (zingatia herufi kubwa na ndogo).

Kumbukumbu
(mpya | zamani) Tazama (50 ya karibu zaidi | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • 14:16, 17 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Samaki mwenye magamba (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Samaki mwenye magamba''' ni samaki ambaye ni halali kuliwa. Katika fikihi ya Kishia, samaki kuwa na magamba ni kigezo cha kuwa kwake halali. Baadhi ya wanazuoni wa fikihi wanaitambua hukumu hii kuwa ni mahususi na maalumu kwa Waislamu wa Shia Imamiyah. Katika hadithi...')
  • 13:07, 15 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Kuishi kinyumba (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuishi kinyumba (White Marriage au Cohabitation)''' ni aina ya mahusiano ya kimapenzi baina ya mwanaume na mwanamke ambayo yako nje ya misingi na sheria za ndoa. Katika utamaduni wa Kiarabu aina hii ya mahusiano inafahamika kwa jina la “kuwa pamoja”. Kwa mujibu wa wanazuoni wa fikihi wa Kishia aina hii ya mahusiano ni haramu na kisheria haihesabiwi kuwa ni ndoa; kwani hayajatimiza masharti ya lazima ya ndoa kama kusomwa tamko la kufunga ndoa na pand...') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:28, 15 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Sariyya (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na vita ambavyo Mtume (s.a.w.w) hakushiriki. Kwa maana kwamba, vita ambavyo Mtume hakushiriki vinajulikana kwa jina la Sariyya. Ili kujua kuhusiana na vita vyote vya Mtume angalia makala ya vita vya Mtume (s.a.w.w). Sariyya au Ba’ath ni vita vilivyopiganwa na Waislamu katika zama za uhai wa Bwana Mtume (s.a.w.w) bila ya Mtume kushiriki katika vita hivyo. Bali vilipiganwa kwa uongozi na ukamanda wa mmoja wa masahaba wa Mtume (s.a.w....') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:39, 8 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Muhammad bin Ali al-Shalmaghani (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Muhammad bin Ali al-Shalmaghani''' (aliuawa: 323 H) mashuhuri kama al-Azaqiri, ni mmoja wa watu waliokuwa wakidai Unaibu wa Imamu Mahdi (atfs) na ni kutokana na sababu hiyo kukatolewa tawqi' (barua) kutokka kwa Imamu Mahdi (atfs) ya kumpinga. Shalmaghani alikuwa mmoja wa masahaba wa Imamu Hassan Askary (as) na mafakihi wa Kishia katika zama za Ghaiba Ndogo (Ghaibat al-Sughra). Kwa mujibu wa taarifa za waandishi wa wasifu wa wataalamu wa elimu ya hadit...') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:23, 8 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Hussein Badreddin al-Houthi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hussein Badreddin al-Houthi''' (1959-2004) ni muasisisi na kiongozi wa kwanza wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen. Alikuwa mfuasi wa madhehebu ya Shia Zaidiyyah na akiwa ameathirika na fikra na mitazamo ya Imamu Khomeini, aliliweka suala la uadui dhidi ya Marekani na Israel katika nara zake na alibainisha kadhia ya Palestina kuwa ni katika masuala yanayopewa kipaumbele na yeye na harakati yake. Hussein Badreddin al-Houthi alianza harakati zake za kisiasa...') Tag: Visual edit: Switched
  • 12:48, 7 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Chuki dhidi ya Uislamu ni kuleta hofu na chuki zilizoratibiwa kuhusiana na Uislamu na madhihirisho ya Waislamu na kuwaonyesha watu wengine kwamba, dini hii ni tishio na hatari. Chuki dhidi ya Uislamu ni kuonyesha kuwa jambo la kawaida na kujuzisha aina mbalimbali za ubaguzi, utumiaji mabavu, ukatili na kutekeleza vitendo vya kuwatenga na kuwanyima haki Waislamu na taasisi na mashirika ya Kiislamu. Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) inachukuliwa kuwa jam...') Tag: Visual edit: Switched
  • 07:32, 4 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Kuvunja Ibrahim masanamu (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuvunja masanamu Ibrahim''' kunaashiria tukio la Nabii Ibrahim (as) kuvunja masanamu ya washirikina. Mkasa huu umetajwa na kuelezwa katika Qur'ani katika Sura za Anbiya na Saffat. Kwa mujibu wake ni kuwa, siku moja watu waliondoka na kwenda nje ya mji. Nabii Ibrahim akaenda katika jumba la masanamu na akayavunja masanamu yote isipokuwa sanamu kubwa kuliko yote. Baada ya watu kurejea na kumuuliza sababu ya kuvunjwa masanamu. Ibrahim akasema kwa kinaya kw...') Tag: Visual edit: Switched
  • 07:13, 4 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Kutekeleza ahadi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kutekeleza ahadi''' ni katika tabia njema za kimaadili jambo ambalo limekokotezwa na kutiliwa mkazo katika Qur'ani na hadithi. Kwa mujibu wa hadithi mbalimbali za Kiislamu, kutekeleza au kutimiza ahadi ni katika asili ya dini, ishara ya yakini na kiini cha dini zote. Katika Qur'ani Tukufu, Mwenyezi Mungu ameisifu sifa hii na katika hadithi imetambulishwa kama sifa maalumu ya Maimamu wa Shia. Wafasiri wa Qur'an wanasema kuwa, katika Qur'ani tukufu Mwenye...') Tag: Visual edit: Switched
  • 06:56, 4 Fubuari 2024 Bendera majadiliano michango created page Kumtembelea mgonjwa (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kumtembelea mgonjwa''' ni katika adabu za Kiislamu ambazo zimetajwa katika hadithi kuwa ni miongoni mwa amali na matendo bora kabisa.  Katika vyanzo vya hadithi vya Kishia, kuna makumi ya hadithi zilizonukuliwa kuhusianaa na maudhui hii. Kumtembelea mgonjwa na kwenda kumjulia hali zilikuwa ni katika sira na mwenendo wa Mtume (s.a.w.w) na Maimamu (a.s), na katika hadithi zilizopokewa na Waislamu wa Kishia inaelezwa kwamba, ni katika haki zilizobainishwa...') Tag: KihaririOneshi
  • 05:44, 8 Januri 2024 Bendera majadiliano michango created page Kumuandaa maiti (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Kumuandaa maiti''' kunaashiria hatua na mambo anayofanyiwa maiti kabla ya kuzikwa. Kumuandaa maiti ni wajibu kifai na huwa wajibu baada ya kupatikana uhakika wa kifo cha mtu. Hatua za kumuaandaa maiti ni ghusl (kumuosha) hunuti (kumpaka kafuri maiti katika maeneo sab...') Tag: Visual edit: Switched
  • 04:44, 8 Januri 2024 Bendera majadiliano michango created page Ayat al-Isti’adha (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na Ayat al-Isti’adha (Aya ya kuomba kinga na hifadhi). Ili kujua kuhusu istilahi yenye jina kama hili anagalia makala ya Isti’adha. '''Ayat al-Isti’adha''' (Aya ya kuomba kinga na hifadhi) ambayo ni Aya ya 98 ya Surat al-Nahl inabainisha nukta hii kwamba, wakati wa kusoma Qur'an inapasa kumuomba Mwenyezi Mungu akulinde na vishawishi vya shetani ili kulindwa na kuepushwa na kuteleza na kukosea. Isti’adha ni kuomba hifadhi na u...') Tag: Visual edit: Switched
  • 04:11, 8 Januri 2024 Bendera majadiliano michango created page Ayat Baiat al-Ridhwan (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na '''Baiat al-Ridhwan''' (baia ya Ridhwan). Ili kujua kuhusiana na tukio lenye jina hili angalia makala ya Baia Ridhwan. Ayat Baiat al-Ridhwan au Aya ya Baia (Surat Fat’h: 18) inatangaza kuhusu Mwenyezi Mungu kuwa radhi na Waumini walioshiriki katika baia ya Ridhwan. Maulamaa wa Ahlu Sunna huitumia Aya hii kwa ajili ya kuthibitisha nadharia ya uadilifu wa masahaba; lakini wafasiri wa Kishia wanaamini kwamba, ridhaa ya Mwenyezi Mung...')
  • 20:00, 6 Januri 2024 Bendera majadiliano michango created page Ziyarat al-Nahiyah al-Muqaddasah (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ili kuona matumizi mengine ya Ziyarat al-Nahiyah al-Muqaddasah angalia kuondoa utata. '''Ziyarat al-Nahiyah al-Muqaddasah''' ni miongoni mwa ziara za Imamu Hussein ambayo imekokotezwa na kutiliwa mkazo isomwe katika Siku ya Ashura. Waislamu wa madhehebu ya Shia huisoma ziara hii pia katika masiku mengine. Ziyara hii inaanza kwa kuwasalimia Mitume na Maimamu watoharifu (as) na inaendelea kwa kumsalimia Imamu Hussein (as) na masahaba zake. Baada ya hapo, zi...')
  • 14:07, 6 Januri 2024 Bendera majadiliano michango created page Hotuba ya Fatima (as) katika mkusanyiko wa wanawake wa Madina (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hotuba ya Fatima (as) katika mkusanyiko wa wanawake wa Madina''' au '''Hotuba ya Kumtembelea Mgonjwa''' ni matamshi na hotuba iliyotolewa na Bibi Fatima Zahra (as) binti ya Mtume (saww) katika hadhara na mkusanyiko wa wanawake wa Madina akilalamikia na kupinga kuporwa na kughusubiwa Ukhalifa. Hotuba hii ambayo aliitoa akiwa mgonjwa kitandani kwa maradhi ambayo ndio yaliyomfanya afe shahidi, inatambuliwa kuwa ina umuhimu mkubwa kutokana na kubainisha hal...') Tag: Visual edit: Switched
  • 11:15, 6 Januri 2024 Bendera majadiliano michango created page Ha Ali Bashar Kayfa Bashar (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' '''Ha Ali Bashar Kayfa Bashar''' (Ali ni mwanadamu; lakini ni mwanadamu gani) ni ubeti wa shairi mashuhuri la Mad’hiyyah (wasifu) au Ghadiriyyah tungo zilizotungwa kwa lugha ya Kiarabu kwa ajili ya kumsifu Imamu Ali (as). Mshairi wa tungo hizi ni Mullah Mehrali Tabrizi Khui, malenga na mshairi wa tungo za Ghadir wa karne ya 13 Hijria na umashuhuri wake umetokana na kaswida na mashairi haya. Alitunga pia shairi la beti 18 kwa lugha ya Kifarsi akimsifu Mt...') Tag: Visual edit: Switched
  • 14:13, 31 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Uchawi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na '''uchawi (urogaji)'''. Ili kujua kuhusiana na Aya yenye jina kama hili angalia makala ya Ayat al-Sihr (Aya ya Uchawi). Uchawi au urogajii au ndumba ni kitendo kisicho cha kawaida ambacho hufanywa ili kumiliki watu au vitu au mambo. Mafakihi wa Shia wanakubaliana juu ya kuwa haramu kutumia uchawi, kujifunza, kufundisha na kulipwa kwa ajili yake. Wanachuoni wa maadili pia wameuchukulia uchawi kuwa ni moja ya madhambi makubwa. Imenu...')
  • 13:36, 31 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Kufa shahidi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Kufa shahidi kunaashiria mtu kufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ambapo katika hadithi mbalimbali kumetajwa kuwa ni kifo bora na chenye thamani zaidi. Katika Aya za Qur’an na hadithi mbalimbali kumetajwa athari mbalimbali za kufa shahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu kama vile kuwa hai, kuwa na haki ya kutoa uombezi (shifaa) na kusamehewa madhambi. Kwa mujibu wa mafaqihi, shahidi hana ghusli wala sanda, na kugusa mwili wake hakufanyi kuwa wajibu kuoga ghu...')
  • 13:14, 31 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Ayat al-Khatamiyyah (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Ayat al-Khatamiyah (Aya ya Hitimisho) ni Aya ya 40 katika Surat al-Ahzab na ndio Aya pekee katika Qur'an Tukufu ambayo inamtambulisha Muhammad (saww) kuwa ni Mtume wa mwisho. Kufikia tamati Unabii kwa Utume wa mtukufu Muhammad (saww) ni moja ya dharura na mambo ya lazima ya dini ya Uislamu na ambalo Waislamu wote wanaafikiana juu yake. Mwanzoni mwa Aya Qur'an inakana juu ya Mtume kuwa na mtoto wa kiume wa nasaba na katika mwendelezo wa Aya inaashiriwa kwa...') Tag: Visual edit: Switched
  • 18:17, 26 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Usuni wa Maimamu Kumi na Mbili (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Masuni/Usuni wa Maimamu Kumi na Mbili''' ni muelekeo wa kimadhehebu baina ya Waislamu wa madhehebu ya Suni ambao mbali na kuwa na imani na Makhalifa Watatu, wana mapenzi na itikadi pia na Wilaya (uongozi) ya Maimamu Kumi na Mbili wa Waislamu wa madhehebu ya Shia. Inaelezwa kuwa, mazingira ya muelekeo huu yaliibuka katika karne za mwanzo tu za Uislamu na ilikuwa ni katika kukabiliana na kundi la wafuasi wa Othman bin Affan lililokuwa likimpinga Imamu Ali...')
  • 12:52, 16 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Muujiza wa hisabati katika Qur’an (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Muujiza wa hisabati katika Qur'an''' au muujiza wa namba ndani ya Qur’an, ni nadharia ambayo inabainisha nidhamu na mpangilio wa Kimuujiza wa Qur’an. Kwa mujibu wa nadharia hii, idadi ya herufi na maneno ya Qur’an yana mpangilio wenye umakini wa hali ya juu na wenye umakini na kutokana na kuwa, hakuna mwandishi anayeweza kuwa na nidhamu na mpangilio kama huu katika kuandika kitabu, mpangilio huu ni ishara ya muujiza wake. Kwa mara ya kwanza nadha...')
  • 12:39, 16 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Kusindikizwa na kuzikwa Fatima (as) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na kusindikizwa na kuzikwa Bibi Fatima Zahra (as). Ili kujua juu ya matukio yanayohusiana angalia makala ya mahali alipozikwa Fatima na kufa shahidi Bibi Fatima (as). '''Kusindikzwa na kuzikwa Bibi Fatima''' kunaashiria kusindikizwa na kuzikwa binti huyu wa Mtume usiku na kwa siri katika mwaka wa 11 Hijria. Fatima (as) aliusia kwamba, hataki watu waliomdhulumu Fadak, waliomuudhi na kupora ukhalifa akiwemo Abu Bakr bin Abi Quhafa na...')
  • 12:19, 16 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Tilawat al-Qur’an (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tilawat al-Qur’an''' au '''Qiraat al-Qur’an''' ni kusoma Qur’an kwa kuangalizia juu ya msahafu ambapo Mwenyezi Mungu amemsisitizia Mtume (saww) na Waislamu wengine kusoma Qur’an. Katika hadithi pia kusoma Qur’an kunaelezwa kuwa kuna thawabu nyingi sana. Kusoma Qur’an kuna adabu na hukumu zake. Kwa mujibu wa fat’wa za mafakihi ni haramu kwa mwenye janaba au hedhi kusoma Sura za Azaim au aya ambayo ina sijida na itakaposomwa moja kati ya Ay...')
  • 11:50, 16 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Uandishi wa hadithi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Uandishi wa hadithi''' au kuandika hadithi za Mtume (saww) na Ahlul-Bayt (as) ni moja ya nyenzo na sababu muhimu za kuhifadhiwa hadithi na kuhamishiwa kwa vizazi vilivyokuja baadaye. Katika hadithi, umuhimu wa kuandika hadithi umesisitizwa na kutiliwa mkazo na katika hadithi ya Fatima (as), thamani ya hadithi iliyoandikwa inachukuliwa kuwa sawa na Hassan na Hussein (as). Shahid Thani (aliyefariki 955 au 965 AH) alikuwa akiutambua uandishi wa hadithi ku...') Tag: Visual edit: Switched
  • 20:11, 14 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Al-Mustabsir (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Al-Mustabsir''' ni mtu ambaye ametoka katika madhehebu au dini nyingine na kuingia katika madhehebu ya Shia Ithnaasharia. Katika vitabu vya hadithi na sehemu mbalimbali za vitabu vya fiqhi, suala la mustabsir limezungumzwa sana na hukumu zimetajwa kwa ajili yake; mio...')
  • 19:53, 14 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Mnyama anayekula najisi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Mnyama anayekula najisi/kinyesi''' au Jallal ni mnyama ambaye nyama yake ni halali na amezoea kula kinyesi cha mwanadamu. Ni haramu kula nyama, kunywa maziwa na mayai ya mnyama ambaye ana mazoea ya kula najisi. Kinyesi na mkojo wa mnyama huyu ni najisi. Kuna haja ya...')
  • 19:32, 14 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Radd al-Madhalim (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Radd al-madhalim''' ni kurejesha mali na madeni ambayo yapo katika dhima ya mtu. Katika hadithi zilizopokewa na Waislamu wa madhehebu ya Shia inaelezwa kuwa Radd al-Madhalim ni miongoni mwa masharti ya kukubaliwa toba. Kwa mujibu wa fat’wa za mafakihi wa Kishia Rad...')
  • 19:21, 14 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Hifdh al-Qur’an (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hifdh al-Qur’an''' ni kuhifadhi kwa moyo Aya za Qur’ani Tukufu. Jambo hili lina thawabu nyingi na thawabu zimeahidiwa katika hadithi. Katika hadithi, Mtume (saww) ametambulisha hadhi na daraja ya hafidh al-Qur’an (aliyehifadhi Qur’an) kwa watu kama hadhi yake juu ya wanadamu wengine. Kwa mujibu wa vyanzo vya kihistoria na hadithi, mtu wa kwanza kuhifadhi Qur'ani alikuwa Mtume Muhammad (saww). Idadi ya mahafidhi wa Qur'ani katika zama za Mtume ha...')
  • 18:32, 12 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Sayyidat Nisa’ al-Alamin (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sayyidat Nisa’ al-Alamin''' ina maana ya kiongozi wa wanawake wote duniani. Sayyidat Nisa’ al-Alamin ni katika lakabu na fadhila za Bibi Fatima (as). Kwa mujibu wa vyanzo vya hadithi vya Waislamu wa madhehebu ya Shia [2] na Ahlu-Sunna [3], Mtume (saww) ndiye aliyempatia Fatima lakabu hii. Kwa mujibu wa Ibn Abil al-Hadid ni kuwa, ibara hii imepokewa kwa sura ya mutawatir kilafudhi au kimaanawi kutoka kwa Bwana Mtume (saww). [4] Katika maneno ya Ima...') Tag: Visual edit: Switched
  • 19:28, 11 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Vazi la Mwenye Kusali (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Vazi la mwenye kusali''' ni nguo ambayo anaivaa mtu anayesali. Mafakihi wamebainisha hukumu na masharti ya vazi la mwenye kusali pamoja na kiwango kinachomfunika. Mafakihi wana kauli moja (ijmaa) ya kwamba, ni wajibu kwa wanawake kujisitiri katika Sala bila kujali k...')
  • 14:47, 11 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Sidanat al-Kaaba (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sidanat al-Kaaba''' ina maana ya kutoa huduma na kusimamia mambo yanayohusiana na Kaaba kama vile kuhifadh na kutunzai funguo, kufunga na kufungua Kaaba, kupokewa wafanyaziara wa nyumba ya Mwenyezi Mungu, kusafisha na kubadilisha kitambaa cha kufunika Kaaba na kadhalika. Kabla ya Uislamu ufunguo wa Kaaba ulikuwa ukishikiliwa na kutunzwa na Bani Shaiba. Baada ya Fat’h Makka, Mtume (saww) aliacha mamlaka ya kushikilia ufunguo wa Kaaba kwa Othman bin Tal...')
  • 14:32, 11 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Ali Hubbuhu Junna (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ali Hubbuhu Junna''' ni beti za mashairi kuhusiana na daraja na fadhila za Imamu Ali bin Abi Twalib (as) ambazo zinanasibishwa na Muhammad bin Idris Shafi’i mmoja wa mafakihi wa moja ya madhehebu nne za Ahlu Sunna. Beti hizi za mashairi zinaashiria kwamba, kumpenda Ali (as) ni kinga ya kutoingizwa motoni na kwamba, yeye Imamu Ali (as) ndiye mgawaji wa pepo na moto. Sehemu nyingi ya beti hizi mbili za mashairi zinaashiria kwamba, Imamu Ali (as) ndiye w...')
  • 14:48, 10 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Haram ya Kadhimayn (as) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Haram ya Kadhimayn''' au Haram ya Maimamu wawili Kadhim na Jawad (as) ni mahali walipozikwa Maimamu wawili Mussa al-Kadhim (Imamu wa saba) na Muhammad Jawad (Imamu wa Tisa) wa Waislamu wa madhehebu ya Shia. Haram hii ipo katika kitongoji cha Kadhimayn eneo ambalo kijiografia linapatikana kaskazini mwa Baghdad. Eneo hili takatifu hii leo limegeuka na kuwa sehemu ya kufanya ziara Waislamu hususan wafuasi wa madhehebu ya Shia nchini Iraq na wa kutoka maen...')
  • 14:02, 10 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Kuvunjia heshima matukufu (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Kuvunjia heshima mambo matukufu''' ni kutusi, kudhihaki mtu au kitu ambacho kwa mujibu wa sheria au watu wa sheria kinaheshimiwa na ni kitukufu. Ni haramu kuvunjia heshima mambo matukufu na hilo linahesabiwa kuwa ni katika madhambi makubwa. Katika kuthibitisha kosa n...')
  • 13:41, 10 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Zaynab binti ya Mtume (saww) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Zaynab binti ya Mtume''' (aliyefariki 8 Hijria), kwa mujibu wa wanahistoria wengi wa Kiislamu, alikuwa binti mkubwa wa Mtume (saww) na Khadija. Kabla ya kupewa utume wa Mtume, yeye aliolewa na Abul As bin Rabi’. Baada ya kubaathiwa Mtume Muhammad, tofauti na mumeme, Zaynab alisimu, lakini Abu al-Aas alimzuia kuhajiri na kuhamia Madina. Zaynab alihamia Madina baada ya Vita vya Badr. Katika mwaka wa saba Hijria, Abu al-Aas alisilimu na akaenda Madina kw...')
  • 13:29, 10 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Zuleikha (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Zuleikha''' alikuwa mke wa mheshimiwa/azizi wa Misri (kiongozi wa kijadi). Baadaye Zuleikha alikuja kuolewa na Nabii Yusuf (as) na kisa chache na Nabii Yusuf kimekuja katika Qur'ani Tukufu. [1] Jina la Zuleikha halijatajwa katika Qur'an nali ameelezwa kwa ibara kama «الَّتِی هُوَ فِی بَيْتِهَا» (Na yule bibi wa nyumba aliyo kuwamo Yusuf alimtamani) na امْرَأَتُ الْعَزِیز» "Mke wa mheshimiwa wa Misri) [3] [4] P...')
  • 13:19, 10 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Aya ya Nafy al-Sabil (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Aya ya Nafy al-Sabil''' ni sehemu ya Aya ya 141 katika Surat al-Nisaa ambayo inakataa aina yoyote ile ya satwa na udhibiti wa makafiri kwa Waislamu. Kwa maana kwamba, Mwenyezi Mungu hatawapa makafiri njia ya kuwashinda Waislamu. Aya hii ni katika hoja za kanuni ya kutowapa njia makafiri ya kuwa na udhibiti kwa Waislamu ambayo ina matumizi katika milango mbalimbali ya fikihi. Baadhi ya wafasiri wakishikamana na hali ya ujumla ya Aya hii, wanatambua kuw...')
  • 12:57, 10 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Fat’wa ya Shurayh al-Qadhi (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Fat’wa ya Shurayh al-Qadhi''' ni fat’wa inayonasibishwa na Shurayh bin Harith al-Kindi Kadhi wa Kufa katika zama za kutokea tukio la Karbala ambayo madhumuni yake yalikuwa ni kuidhidhisha kuuawa Imamu Hussein (as). Fat’wa hii haijaja katika vyanzo vya kale na baadhi ya Maulamaa na watafiti wanasema kuwa, fat’wa hiyo haina msingi na ni bandia. '''Umuhimu na nafasi''' Kwa mujibu wa Sayyid Muhammad Ali Qazi Tabatabai katika kitabu chake cha utafi...') Tag: Visual edit: Switched
  • 19:22, 7 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Nyumba ya Fatima (as) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Nyumba ya Bibi Fatima (as)''' ilikuwa imeungana na Masjid al-Nabi (Msikiti wa Mtume) na palikuwa mahali walipokuwa wakiishi Imam Ali (as) na Fatima (as). Fadhila zilizoorodheshwa kuhusiana na nyumba ya Fatima ni kwamba, Mwenyezi Mungu aliamuru milango yote ya nyumba zilizounganishwa na Msikiti wa Mtume ifungwe katika tukio la Saddu-al-Abab, (kufungwa milango) na akaruhusu tu mlango wa nyumba hii ya msikiti kubaki wazi. Imekuja katika hadithi iliyonukuli...')
  • 18:49, 7 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page It’am Ghadir (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''It’am Ghadir''' (kulisha chakula katika Sikukuu ya Ghadir) ni moja aya ada na mazoea ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ambapo imesisitizwa kulisha chakula katika kumbukumbu na maadhimisho ya Sikukuu ya Ghadir. Kwa mujibu wa hadithi iliyosimuliwa na Imamu Ali bin Mussa al-Ridha (a.s.), malipo na thawabu za kulisha chakula siku ya Ghadir ni sawa na malipo ya kuwalisha Mitume na Sidiqin wote, na Mashia wanaombwa kushiriki katika ada ya kulisha chakula sik...')
  • 17:51, 7 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Khaybar (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Khaybar''' ni eneo ambalo kijiografia linapatikana nchini Saudi Arabia ambapo Vita vya Khaybar vilitokea na kupiganwa katika eneo hilo. Eneo la Khaybar lipo umbali wa kilomita 165 kutoka katika mji wa Madina na makao makuu yake ni mji wa al-Shurayf. Wakazi wa Khaybar mwanzoni mwa Uislamu walikuwa Mayahudi. Kwa mujibu wa wanahistoria wa Kiislamu, kwa sababu walikuwa wakiwachochea viongozi wa Makka kuwashambulia Waislamu, Mtume (saww) alikata shauri kupig...') Tag: Visual edit: Switched
  • 19:09, 6 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Iltimas al-Dua’ (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Iltimas al-Dua’''' ni neno linalotumika kumuomba au kuwaomba watu wengine kukuombea dua za kheri. [1] Kwa maana kwamba, wakati wanaomba dua basi wakuombee na wewe. Kikawaida ombi hili hutolewa kwa mtu anayekwenda kufanya ziara katika maeneo matakatifu au ambaye anafanya ibada fulani. [2] Kwa mujibu wa hadithi mbalimbali mafakihi wa Kishia [3] wanasema kuwa, ni mustahabu kwa anayemtembelea mgonjwa amuombe amshirikishe katika dua zake yaani amuombee. [...') Tag: Visual edit: Switched
  • 18:54, 6 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Al-Ajal (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Al-Ajal''' ni mwisho wa kila kitu na ina maana ya wakati wa kifo cha mwanadamu. Neno al-Ajal na yanayotokana nalo limetumika mara 56 katika Qur’an katika maudhui mbalimbali. Kwa mfano imekuja kuwa, kila umma una muda wake maalumu ambao haupungui wala kuongezeka. Baadhi ya wafasiri wa Qur’ani tukufu wanaamini kwamba, kwa mujibu wa Aya za Qur’an mwanadamu ana aina mbili za ajal (muda wa kifo chake): Al-Ajal al-Musamma ambayo ina maana ya mwisho maal...')
  • 14:52, 6 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Hal Min Nasirin Yansuruni (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Hal Min Nasirin Yansuruni''' ina maana kwamba: Je kuna mwenye kunusuru aninusuru. Maneno haya yamenukuliwa kutoka kwa Imamu Hussein (as) katika lahadha za mwisho za uhai wake siku ya Ashura. Javad Muhadathi anasema katika kitabu cha Farhgang Ashura (Utamaduni wa Ashura) maneno haya ni nukuu ya kimaana na haijaja namna hii katika vitabu vya historia. [1] Hata hivyo, vyanzo vinavyohusiana na tukio la Ashura, vimenukuu ibara na maneno yanayoshabihiana na m...')
  • 14:47, 6 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Kuzika (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kuzika''' maana yake ni kufukia maiti ya chini ya ardhi. Kuzika maiti ni katika Wajib Kifai ambapo mkusudiwa sio mtu maalumu; kwa maana kwamba, kwa mujibu sheria, kila ambaye atatekeleza hilo basi itatosheleza. Kwa mujibu wa sheria za Kiislamu, kabla ya maiti kuzikwa kuna mambo ambayo ni lazima kumfanyia maiti kama kumuosha, kumkafini (kumvisha sanda) na kumsalia. Kwa mujibu wa hadithi ni kwamba, falsafa ya kuzika maiti ni kuchunga na kuheshimu maiti ya...') Tag: Visual edit: Switched
  • 17:54, 5 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Kudhihirisha Sauti (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Jahr''' ni '''kudhihirisha sauti''' au '''kusali kwa sauti''' na kwa mujibu wa kauli mashuhuri ni wajibu kwa mwanaume kusoma kwa sauti alhamdu na sura katika Sala ya Asubuhi na rakaa mbili za mwanzo za Sala ya Magharibi na Isha. Maudhui ya Jahr (kudhihirisha sauti)...')
  • 14:50, 3 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Hijabu (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na wasifu kuhusu mafuhumu na maana ya kifikihi na hivyo haiwezi kuwa kigezo cha amali na matendo ya kidini. Kwa ajili ya amali za kidini, rejea katika vyanzo vingine. '''Hijabu''' ni vazi na stara ya mwanamke mbele ya mwanaume asiyekuwa maharimu wake. Mafakihi na Maulamaa wengine wa Kiislamu wanasema kuwa, hijabu ni katika mambo ya wajibu wa wazi na ni dharura katika dharura za dini ya Kiislamu kama ambavyo ni dharura miongoni mwa...')
  • 14:03, 3 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Shiati Ma In Sharibtum Maa Adhbin Fadhkuruni (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Shiati Ma In Sharibtum Maa Adhbin Fadhkuruni''' (Shia wangu kila mnapokunywa maji matamu nikumbukeni/nitajeni). Huu ni ubeti wa shairi mashuhuri linalonasibishwa na Imamu Hussein (as). Shairi hili linakumbusha kufa shahidi na kiu Imamu Hussein (as) katika tukio la Karbala. Sehemu ya kwanza ya ubeti huu wa shairi inawausia na kuwataka Mashia kila wanapokunywa maji basi wamkumbuke na kumtaja Imamu Hussein (as). Baadhi ya Maulamaa wakitegemea shairi hili n...')
  • 13:50, 3 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Kufikisha Aya za Baraa (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Makala hii inahusiana na Iblagh Ayaat al-Baraah (kufikisha Aya za Baraa). Kama unataka kujua kuhusiana na Aya zenye jina kama hili, angalia makala ya Ayaat al-Baraa. '''Iblagh Ayaat al-Baraa''' '''(kufikisha Aya za Baraa)''' ni kusomwa Aya za mwanzo za Surat al-Tawba na Imamu Ali (as) katika mkusanyiko wa washirikina wa Makka mwaka wa 9 Hijria. Awali Mtume (saww) alimkabidhi jambo hilo Abu Bakr bin Abi Quhafa; lakini kwa amri ya Alla akabadilisha uamuzi...') Tag: Visual edit: Switched
  • 14:37, 2 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Wakuu wa Bani Israil (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Wakuu wa Bani Israil au watawala wa jadi 9watemi)''' ni wawakilishi na wajumbe 12 kutoka katika makabila (asbat) 12 ya Bani Israil (watoto wa Nabii Ya’qub) ambao walichaguliwa na Nabii Mussa (as) kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Jukumu lao lilikuwa ni kulinda agano na ahadi ya Mwenyezi Mungu aliyoichukua na kuiweka kwa Bani Israil. Watemi na viongozi hao wa jadi walikuwa na jukumu la kukusanya taarifa za kaumu dhalimu katika safari ya kuelekea Baytul-Muqad...') Tag: Visual edit: Switched
  • 14:22, 2 Disemba 2023 Bendera majadiliano michango created page Al-Haqiqah Kama Hiya (kitabu) (Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Al-Haqiqah Kama Hiya ni kitabu ambacho ni mukhtasari na kinachobainisha fikra ya Shia Imamiyah. Kitabu hiki kimeandikwa na Ja’afar al-Hadi (aliaga dunia: 2020), msomi na mwanazuoni wa Kishia. Katika kitabu hiki mwandishi akitumia Aya za Qur’an na hadithi akiachana na ujengeaji hoja anayatambulisha madhehebu ya Shia. Kitabu cha Al-Haqiqah kama hiya (ukweli kama ulivyo), kimeandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) mwaka 2005...') Tag: Visual edit: Switched
(mpya | zamani) Tazama (50 ya karibu zaidi | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)